Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kwakuwa Yesu anakuja. Kwakuwa Kristo anakuja tena kutuchukua nyumbani hivyo twahitaji kwenda<br />
kwake 22:17-21. Ndio maana Roho, Bibi Arusi na Mungu wanasema “Njoo.”<br />
Falsafa (Theory):<br />
Kuna aina mbali mbali za tafsiri ya falsafa (theories) katika kitabu cha <strong>Ufunuo</strong>. Nyingi kati ya hizo hazina<br />
msingi wowote. Lakini kadili tunavyojifunza kitabu hiki tunahitaji kuwa na mawazo pevu kwa kuangalia<br />
ujumla katika maandiko. Kama kuna mtazamo tunaoweza kuuamini na mtazumo huo ni tofauti na<br />
mafundisho mengine basi hatuwezi kuuacha hivihivi. Hatuwezi kuamini jambo ambalo ni tofauti na<br />
maandiko mengine ya Biblia. Lakini tunachopaswa kukumbuka ni kwamba kitabu kiliandikwa kwa<br />
Wakristo wa sehemu ya baadae katika karne ya kwanza. Na Imani tuliyonayo ni lazima iwe kwa faida yao.<br />
Yaonekana kuwapo falsafa kuu nne kwenye hiki kitabu. Hata hivyo pengine zipo maelfu ya falsafa ndogo.<br />
Moja yajionyesha kuwa ya baadae. Maana yake ni kwamba mambo yaliyoandikwa katika sura ya 4 -20.<br />
Bado hayajatimia. Wanaanini kuwa yatatimizwa atakaporudi Yesu. Na Falsafa ya pili na ya kihistoria<br />
kwamba mambo yamewekwa kwenye historia ambayo inachukua nafasi mpaka Yesu atarudi tena<br />
yanafundishwa zaidi na Wakathoriki. falsafa ya tatu mtazamo wa utimilifu ikiwa na maana kwamba kila<br />
kitu kilitimia wakati wa kipindi cha kuandika katika mtazamo ya misingi ya unabii wa kipindi cha mwisho<br />
wa binadamu Falsafa (Theory) ya nne ni mtazamo wa kiroho ukimaanisha kuwa maono yote na unabii<br />
haukuwa halisi sio kwamba unahusu jambo maalumu.<br />
Hizi Falsafa (Theory) zote zimesomwa kwa miaka mingi na watu wameamua kuzifuata lakini watu pia<br />
wamekuta matatizo mengi katika falsafa hizi. Hivyo njia rahisi ya kujifunza kitabu cha <strong>Ufunuo</strong> ni kujifunza<br />
bila kuweka mambo yote katika falsafa tukiwa tunakumbuka kuwa katika kitabu hiki hakikuandikwa kwa<br />
ajili yetu kiliandikwa ili kuwasaidia wazee wetu kuwapa imani kwa maswali yao mengi kuhusiana na jinsi<br />
walivyoamini kwa muda mrefu.<br />
Zipo pia falsafa (Theory) tofauti zenye misingi ya utawala wa miaka 1,000 tunayoisoma katika kitabu<br />
hiki. Hizo Falsafa tuzisikiazo kila mara kwenye madhehebu kwanza ni ya umileniam ni falsafa<br />
iliyogawanyika lakini pointi yake kuu ni kuwa Kristo alishindwa kuweka ufalme wake wakati wa kipindi<br />
cha utawala wa Rumi na, atarudi kutawala kutoka kiti cha Daudi kwa miaka 1,000 kutoka Yerusalem. Pia<br />
kuna kipindi baada ya mileniam wanaamini kuwa Yesu atarudi baada ya kuwa ametawala miaka 1,000 na<br />
hapo kuna wamileniam wanaamini kuwa miaka 1,000 inaonyesha kipindi kisicho na mwisho.<br />
Tarehe:<br />
Kitabu kinazo tarehe kuu mbili ambazo zimependekezwa na watu siku hizi. Wengine wanadai kitabu<br />
kimeandikwa wakati fulani kabla ya kuharibiwa kwa Yerusalem 67 -69 Bk. Na wengine wanaamini kitabu<br />
kimeandikwa wakati wa utawala wa Douisian karibu 95-96 Bk.<br />
Twaweza kuona katika kitabu hiki kuwa Wakristo katika Asia Ndogo walikuwa chini ya uangalizi mkubwa<br />
- wakati wa utawala wa Kiroma kabla ya kuharibiwa Yerusalem Wakristo walikuwa hawana mateso yoyote<br />
lakini Domitian aliyetawala toka 81-96 Bk. Aliwatawala Wakristo kwa ukali akiamini kuwa alikuwa<br />
Mungu na anaongea kwa Mamlaka ya Mungu hivyo adha ikatokea Asia Ndogo mpaka mwisho wa utawala<br />
wa Domintian.<br />
Namba Za Biblia:<br />
Moja - Umoja, upekee, peke yake angalia Efe. 4:3-5.<br />
Mbili - Namba mbili inaonyesha nguvu na hatari kwa maisha ya kizamani. Wakati fulani Yesu<br />
aliwatuma wanafunzi wake wawili wawili. Musa alituma wapelelezi wake wawili wawili. Nuhu<br />
aliingiza wanyama wawili wawili. Katika <strong>Ufunuo</strong> 11 tunaona mashahidi wawili wanasimamia<br />
mshahidi mwenye nguvu. Wanyama (Beasts) wawili wanaonekana kama adui mwenye nguvu.<br />
Tuangalia Yoh. 15:26-27; Luka 10:1.<br />
Tatu - Ni mfano wa Uungu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu) Mt. 3:13-17; 28:18-20.<br />
4