28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

hususan katika maendelezo ya viwanda katika<br />

maeneo ya Mtwara na Lindi (Makofi)<br />

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI: Mheshimiwa<br />

Mwenyekiti, naomba kujibu swali la Mheshimiwa<br />

Bwanausi, kama ifuatavyo:-<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa M<strong>bunge</strong><br />

anataka kufahamu kama wananchi wa maeneo haya<br />

niliyoyataja ya Nanjota, Mbuyuni, Mkangaula, Mnavira,<br />

Mchauru ni lini tuwaambie mradi utaanza<br />

Mchakato kama utaanza mwezi wa nane ni<br />

dhahiri kwamba kwenye mwezi wa 12 Januari, 2013<br />

hivi tunaweza tukawa tumeanza ujenzi wa mradi huu.<br />

Hivyo wakae mkao wa matayarisho na waandae<br />

nyumba kwa ajili ya kuanza kufanya wiring kwa sababu<br />

pengine umeme unaweza ukawahi kufika kabla<br />

hawajafanya maandalizi.<br />

Lakini swali la pili,ni kweli kwamba upatikanaji wa<br />

umeme katika Mikoa ya Mtwara na Lindi hakuna<br />

matatizo. Hivi tunavyozungumza kuna MW sita pale<br />

zimekaa tu pale Mtwara hazina matumizi.<br />

Kwa hiyo, hatuna tatizo kabisa juu ya uwezo wa<br />

umeme wa Kusini na nitaka nichukue nafasi kwa niaba<br />

ya Serikali kuwaomba sana watu wa Mtwara na Lindi<br />

kwamba neema sasa imefunguliwa kwao kwa sababu<br />

kama gesi inatoka Mtwara na Lindi ni dhahiri kabisa ni<br />

lazima tuonyeshe manufaa ya wazi kwao na Serikali ya<br />

Chama cha Mapinduzi, iko tayari kuhakikisha

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!