28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

zitakwenda haraka zaidi. Kwa hiyo, tunaamini hili ni<br />

jambo ambalo tutalifanya kwa ufanisi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, vile vile napenda nimtaje<br />

Mheshimiwa Aggrey Mwanri, M<strong>bunge</strong> wa Siha, kama<br />

mchangiaji kwa maandishi.<br />

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Mheshimiwa<br />

Mwenyekiti, kwenye mchan<strong>go</strong> wangu niliomba Serikali<br />

ilifahamishe Bunge ule utaratibu ulioanza mwaka<br />

2008/2009 wa ku-register simu na line za simu ili<br />

kuondoa matumizi mabaya ya line ambapo<br />

tunatukanwa, watu wanatumia chip kwa ajili ya<br />

kutukana na kuzitupa umefikia wapi na umefanikiwa<br />

kwa kiasi gani mpaka sasa hivi Ni kwa nini mpaka sasa<br />

hivi chip zinauzwa kama karanga barabarani (Makofi)<br />

NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA<br />

TEKNOLOJIA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Ni kweli<br />

kwamba moja ya sababu za kusajili simu ni pamoja na<br />

kuhakikisha usalama wa mawasiliano pamoja na<br />

identity, tuliamua kwamba zoezi hili tulifanye kwa hatua<br />

ili tusikate mawasiliano kwa watu wote kwa wakati<br />

mmoja.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sasa hivi asilimia<br />

kubwa ya Watanzania wameshasajili simu, lakini mfumo<br />

uliopo sasa hivi ni kwamba unapewa muda, unaweza<br />

kununua chip ukakaa nayo kwa mwezi na mwezi<br />

ukiisha inazimwa. Kwa hiyo, ndani ya mwezi uweze<br />

kuisajili ili kutoa ruhusa kwa dharura. Lakini kadri<br />

tunavyokwenda tutafika mahali ambapo tutakuwa<br />

hatuhitaji kipindi hicho.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!