28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kama vile kukatwa mikono, miguu, vidole na wengine<br />

kupoteza maisha.<br />

Je, Serikali inatoa fidia gani kwa wananchi hao<br />

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII:<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimshukuru tu kwa kuendelea<br />

kuzungumza na sisi Wizarani juu ya umuhimu wa<br />

kuweza kuanzisha huu utaratibu wa kuvuna hawa<br />

mamba na mwaka huu kuna sensa ya Taifa ya watu<br />

na kuna sensa ya nchi nzima. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli Serikali ina<br />

utaratibu wa kutoa fidia mahali ambapo wananchi<br />

wamedhuriwa iwe na Mamba, iwe na Tembo lakini<br />

tumepokea malalamiko ya muda mrefu kwamba fidia<br />

hizi ni ndo<strong>go</strong> sana na tunaendelea na utaratibu wa<br />

kuangalia ni jinsi gani zitahuishwa au zitarekebishwa<br />

kwa kadiri Bajeti itakavyoturuhusu.<br />

MWENYEKITI: Tunaendelea na swali linalofuata,<br />

Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> muda umetutupa mkono<br />

ingawa nitamwomba sana Waziri mwenye dhamana<br />

ya lugha ya Kiswahili atusaidie sana kuelewa matumizi<br />

ya hili neno tembo ndani ya ukumbi huu wa Bunge, ili<br />

tuwe tunalitumia kwa kadiri inavyotakiwa. (Makofi)<br />

Na. 263<br />

Ubovu wa Barabara – Ileje<br />

MHE. MCH. LUCKSON N. MWANJALE (MHE. ALIKO<br />

N. KIBONA) aliuliza:-

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!