28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI (MHE.<br />

GEORGE B. SIMBACHAWENE): Mheshimiwa Mwenyekiti,<br />

kwa niaba ya Waziri wa Nishati na Madini, naomba<br />

kujibu swali la Mheshimiwa Mwanjelwa kama<br />

ifuatavyo:-<br />

Tulionana na Mheshimiwa Mwanjelwa. Kwanza<br />

nikupongeze kwa namna unavyofuatilia na ulinieleza<br />

juu ya Kijiji hiki na leo umepata fursa ya kuuliza hapa.<br />

Ninaomba nikuhakikishie kwamba sisi Serikali kwa sasa<br />

Wizara ya nishati na Madini tunataka kuhakikisha<br />

kwamba, hatutaki kuona wananchi wa Kijiji fulani<br />

wanaziangalia tu waya za umeme zinapita.<br />

Kwa hiyo, mimi ninachowaomba kwenye Bajeti<br />

yetu kama mtatupitishia vizuri na nina amini mtafanya<br />

hivyo, nitajitahidi kuweka programu Fulani kado<strong>go</strong><br />

ambako katahakikisha kwamba umeme unashushwa.<br />

Maana pale pengine inahitajika transformer moja na<br />

nyumba kadhaa, Vijiji viwili, vitatu vinapata umeme.<br />

Kwa nini tusiwasaidie Watanzania hao<br />

Kwa hivyo, umeme kuruka Kijiji itakuwa ni kweli ni<br />

kosa kubwa na sisi tutajitahidi sana tunaanzisha<br />

kaprogramu fulani ndani ya Wizara<br />

katakachoshughulikia eneo hilo. Tunajua tunayo<br />

programu ya REA ambayo inatusaidia kupeleka<br />

umeme Vijijini. Lakini kuna sehemu ambazo umeme<br />

umepita haujashushwa ni kushusha tu. Lazima tuje na<br />

programu maalum kwa ajili ya jambo hilo.<br />

Kwa hiyo, nimhakikishie Mheshimiwa Dkt.<br />

Mwanjelwa kwamba sina jibu la moja kwa moja nini

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!