28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mbalimbali zilizoidhinishwa katika mwaka wa fedha<br />

2011/2012.<br />

Katika mwaka wa fedha 2012/2013 jumla ya<br />

nafasi 1,239 za kada za msingi zimeombwa na<br />

kuidhinishiwa fedha kama ifuatavyo: Afisa Tarafa nafasi<br />

54, Mtendaji Kata nafasi 410, Mtendaji wa Kijiji nafasi<br />

692 na Mtendaji Mitaa nafasi 83.<br />

(b) Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali katika kuajiri<br />

watumishi wake inazingatia Sheria na taratibu<br />

zinazozingatia Umoja wa Kitaifa na zinazotaka nafasi<br />

husika kujazwa kwa uwazi (Open Recrutment System).<br />

Hivyo si utaratibu wa Serikali kuajiri watumishi kwa<br />

misingi ya uwenyeji/uzawa waliokozaliwa kwani<br />

kufanya hivyo ni kinyume na ibara ya 22 (1) na (2) ya<br />

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya<br />

mwaka 1997, toleo la Mwaka 2008 inayompa fursa kila<br />

Mtanzania kufanya kazi yoyote iliyo chini ya mamlaka<br />

ya nchi.<br />

Aidha, Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi<br />

wa Umma toleo la mwaka 2009 pamoja na Sheria ya<br />

Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama<br />

ilivyorekebishwa na Sheria na. 18 ya mwaka 2007,<br />

zimeeleza kuwa ajira ya Utumishi wa Umma zitajazwa<br />

na watu wenye sifa kutoka sehemu yoyote nchini.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuondoa changamoto<br />

za ajira za watendaji wa ngazi za msingi, Serikali<br />

imekwishaamua kuweka utaratibu utakaoziwezesha<br />

Halmashauri za Wilaya kuajiri zenyewe kada hizo ili<br />

kukabiliana na changamoto. Hatua inayofuata sasa ni

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!