28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Aidha, toka mwaka 2007/2008 hadi 2011/2012,<br />

jumla ya shilingi milioni 2,336.164 kwa barabara ya<br />

Kyimo – Ibungu na shilingi milioni 264.250 kwa barabara<br />

ya kasumulo – Ison<strong>go</strong>le, zimetumika kwa kuzifanyia<br />

matengenezo mbalimbali.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara yangu kupitia<br />

Wakala wa Barabara Mkoa wa Mbeya, itaendelea<br />

kukarabati barabara hizi kwa kiwan<strong>go</strong> cha<br />

chngarawe, ili kuhakikisha zinapitika majira yote ya<br />

mwaka. (Makofi)<br />

Katika Mwaka wa Fedha wa 2012/2013, jumla ya<br />

shilingi milioni 94.8 zimetengwa, kwa ajili ya<br />

matengenezo mbalimbali ya barabara husika.<br />

MHE. MCH. LUCKSON N. MWANJALE: Mheshimiwa<br />

Mwenyekiti, ahsante kwanza nimshukuru Naibu Waziri<br />

kwa majibu yake mazuri swali la kwanza, kwa kuwa<br />

Serikali imekuwa ikitenga hela kila mwaka kwa ajili ya<br />

matengenezo ya barabara hizi. Je, kwanini usifikirie<br />

kujenga kwa lami kuliko kila wakati kujenga hela hili.<br />

La pili, barabara ya kutoka Mbalizi mpaka Ileje<br />

Mjini ni barabara ambayo ni fupi kuliko barabara zote<br />

ambazo zinaelekea mjini Mbeya. Je, Serikali ina<br />

mpan<strong>go</strong> gani wa kuhakikisha kwamba barabara hii<br />

inatengenezwa ili kuwaondolea shida au kero<br />

wananchi wa Ileje wanaokuja Mbeya Ahsante sana.<br />

NAIBU WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Mwenyekiti,<br />

kwanza anauliza kwanini barabara hizi zisijengwe kwa<br />

kiwan<strong>go</strong> cha lami badala ya changarawe hii

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!