28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII:<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Afya<br />

na Ustawi wa Jamii, naomba kujibu maswali mawili ya<br />

Nyongeza ya Mheshimiwa Mipata, kama ifuatavyo:-<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyotoa maelezo<br />

katika jibu langu la msingi ni kwamba, maeneo mengi<br />

nchini, tuna changamoto ya uwepo wa Watumishi,<br />

hasa wa Wizara hii ya Afya. Na juhudi tumezieleza<br />

karibu mara mbili, nilipokuwa nikijibu maswali katika<br />

vipindi vilivyopita, namna ambavyo Serikali, imekuwa<br />

ikijitahidi ili kuweza kupunguza na kuziba pen<strong>go</strong> hili la<br />

upungufu wa Watumishi katika maeneo yote nchini.<br />

Mojawapo nimelielezea katika jibu hili kwamba,<br />

Chuo hicho cha St. Bakita, chenyewe kinapanuliwa, ili<br />

kuongeza idadi ya wanafunzi wanaoweza kudahiliwa<br />

pale, kwa kusudio la kutokuzalisha wafanyakazi ambao<br />

wataweza kuziba mapen<strong>go</strong> ya watumishi kwenye<br />

maeneo yetu.<br />

Lakini pia, maombi haya yanapitia Utumishi wa<br />

Umma, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na baada<br />

ya kibali kutolewa cha kuajiri ndio Wizara, inaamua<br />

sasa kupeleka kule Watumishi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni matumaini yangu<br />

kwamba, wenzetu kule Nkasi, watawasilisha maombi<br />

yao. Pale kibali kinapokuwa kimetolewa, basi Wizara<br />

itajaribu kushirikiana kwa kiwan<strong>go</strong> cha hali ya juu, ili<br />

kuwapeleka watumishi waliopo kwa wakati huo,<br />

wanaoweza kukidhi nafasi Mheshimiwa<br />

anazozizungumzia.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!