28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mbalimbali nchini juu ya maana halisi ya mabadiliko<br />

haya, kuwaondolea hofu iliyotanda kuhusu mabadiliko<br />

haya na kuwaelimisha mambo wanayotakiwa kufanya<br />

ili kuendelea kupata matangazo ya televisheni. Aidha,<br />

elimu hii imekwishatolewa katika Taasisi mbalimbali<br />

ikiwemo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />

na Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Elimu hii inaendelea<br />

kutolewa katika maeneo na kwa vikundi mbalimbali<br />

nchini kujenga uelewa huu.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, anuani za makazi za<br />

simbo za posta. Tanzania imeanza kutekeleza mfumo<br />

mpya wa anuani za makazi na simbo za posta.<br />

Utekelezaji huo ulianza katika Kata nane (8) za<br />

Manispaa ya Arusha ambapo uzinduzi rasmi ulifanyika<br />

mwezi Januari 2010. Aidha, utekelezaji pia umefanywa<br />

katika Kata nane (8) za Manispaa ya Dodoma. Uzinduzi<br />

wa utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi kwa jiji<br />

la Dar es Salaam ulifanywa mwezi Novemba 2011 na<br />

juhudi zinafanywa kupata fedha kwa ajili ya utekelezaji<br />

wa mfumo huu kwa jiji la Dar es Salaam. Kutokana na<br />

umuhimu wa jiji la Dar es Salaam, maandalizi mahsusi<br />

yanakamilishwa katika kuhakikisha kuwa utekelezaji wa<br />

mfumo wa anuani za makazi na simbo za posta katika<br />

jiji la Dar es Salaam unafanywa kwa mafanikio<br />

makubwa.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na umuhimu<br />

wa kuhakikisha kuwa kila mwananchi ulimwenguni<br />

anakuwa na anuani kamili, Umoja wa Posta Duniani<br />

(Universal Postal Union) katika Mkutano wake Mkuu<br />

utakaofanyika mwezi Oktoba, 2012 huko Doha, Qatar<br />

agenda mojawapo itakayozungumzwa ni uhamasishaji

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!