28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MHE. AUGUSTINO M. MASELE aliuliza:-<br />

Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyamapori kama vile,<br />

N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro Conservation Authority, imeonesha<br />

mafanikio makubwa katika kukuza utalii na uhifadhi wa<br />

maliasili katika eneo husika:-<br />

Je, Serikali, ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuleta Bungeni<br />

Sheria ya uanzishwaji wa Mamlaka za Uhifadhi katika<br />

mapori ya akiba ya wanyamapori yaliyopo hapa<br />

nchini<br />

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII alijibu:-<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa<br />

Maliasili na Utalii, naomba kujibu swali la Mheshimiwa<br />

Augustine Manyanda Masele, M<strong>bunge</strong> wa Mbogwe,<br />

kama ifuatavyo:-<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kifungu Namba 8 cha<br />

Sheria ya Kuhifadhi Wanyamapori Na. 5 ya Mwaka<br />

2009, kimempa Mamlaka Waziri wa Maliasili na Utalii<br />

kuanzisha Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania.<br />

Mchakato wa uanzishaji wa Mamlaka ya<br />

Wanyamapori Tanzania, umeanza na sasa uko katika<br />

hatua ya kuainisha muundo na kazi za Mamlaka hiyo.<br />

Aidha, kikundi kazi kinachoshughulikia uanzishwaji<br />

wa Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania,<br />

kimetembelea Hifadhi za Taifa na Mamlaka ya Hifadhi<br />

N<strong>go</strong>ron<strong>go</strong>ro, ili kujifunza Muundo wa Mamlaka.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!