28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kuhakikisha kwamba maeneo yote yenye utelezi<br />

yanakomaa vizuri. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Hili la Peramiho amelisikia<br />

Mheshimiwa Waziri mwenyewe atalijibu baadaye,<br />

Mheshimiwa Naibu Waziri majibu.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ni kweli kuna maeneo<br />

mengine katika wilaya ya Ileje ambayo ina miinuko<br />

mikali na pengine tungetafuta namna ya kuweza<br />

kutengeneza ili kusudi maeneo yale yaweze kupitika<br />

muda wote wa mwaka.<br />

NAIBU WAZIRI WA UJENZI: Sasa kama nilivyojibu<br />

kwenye jibu la msingi kwamba tuna utaratibu ambao<br />

tumeshaupanga tayari wa kujenga barabara za lami,<br />

lakini maeneo ambayo ni korofi na specific na kama<br />

barabara ni barabara inayohudumiwa na Wizara ya<br />

Ujenzi tutaingilia namna gani tutaweza kuifanya.<br />

(Makofi)<br />

Na. 264<br />

Ujenzi kwa Kiwan<strong>go</strong> cha Lami Barabara ya<br />

Njombe<br />

MHE. DEO H. FILIKUNJOMBE aliuliza:-<br />

Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kujenga barabara<br />

ya lami kutoka Njombe (Itoni) hadi Ludewa (Manda)<br />

NAIBU WAZIRI WA UJENZI aliuliza:-

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!