28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MHE. ENG. MOHAMED HABIB JUMA MNYAA:<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru. Kwa utangulizi,<br />

kwanza niwape pole wafiwa wote katika ajali ile na<br />

Mwenyezi Mungu, awape moyo wa subira.<br />

La pili, nampongeza aliyekuwa Waziri wa<br />

Miundombinu wa Zanzibar, Mheshimiwa Hamad<br />

Masoud, kwa kitendo chake cha ushujaa cha kubeba<br />

dhamana na akaweza kujiuzulu. Kwa mfano huo huo,<br />

kwa sababu, suala hili ni suala mtambuka, meli hizi zote<br />

zinaanzia safari aidha, Dar es Salaam au Zanzibar. Kwa<br />

hiyo, na mwenzake wa uchukuzi hapa akichukua<br />

hatua kama ile, atajijengea heshima na itakuwa ni<br />

funzo kwamba amewajibika. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, hili litupe funzo kama<br />

utangulizi kwamba, leo yametokea kwenye meli, lakini<br />

tujiangalie: Je, na ndege zetu zinaandikishwa kihalali<br />

Zinakwenda zile service kubwa za kawaida Kwa hiyo,<br />

tusin<strong>go</strong>je likatokea janga. Serikali, ni lazima ishituke!<br />

Hapa tunazungumzia Wizara ya Sayansi, na haya pia<br />

ndiyo mambo ya Sayansi. Kwa hiyo, jambo hili<br />

liangaliwe, tusije tukasema tumesoma, tumesoma,<br />

tumesoma; kama hatujasoma, hatuwezi kusoma tena<br />

milele.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nakuja katika bajeti hii.<br />

Bajeti ya Wizara hii kwa ufupi ni yale maneno tunasema<br />

business as usual. Mwaka 2011 ilipangiwa Shilingi bilioni<br />

64, lakini bajeti ya maendeleo, katika Shilingi bilioni 40,<br />

zilipatikana 23% tu. Wizara ambayo ina tafiti nyingi na<br />

mambo mengi, ndiyo kweli pana mpangilio wa<br />

kwenda mbele

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!