28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

walimu, miundombinu na vifaa vya kufundishia ili<br />

kukidhi vigezo vinavyohitajika.<br />

Hivyo, Wizara inaendelea kushirikiana na Uon<strong>go</strong>zi<br />

wa chuo hicho ili kiwe na uwezo wa kuendesha<br />

mafunzo katika ngazi ya Stashahada. Vile vile, katika<br />

juhudi za Wizara za kuongeza udahili wa wanafunzi<br />

vyuoni, Chuo cha St. Bakhita ni mojawapo ya chuo<br />

kilichofanyiwa upembuzi mwaka 2011 ili kuongeza<br />

idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa.<br />

(c) Mheshimiwa Mwenyekiti,Wizara kwa kushirikiana<br />

na Mfuko wa Dunia (Global Funds) inakipanua chuo<br />

hicho kwa ujenzi wa madarasa 4 yenye uwezo wa<br />

wanafunzi 400, maabara, mabweni yenye uwezo wa<br />

wanafunzi 500; nyumba za wafanyakazi 6 na ununuzi<br />

wa samani katika majen<strong>go</strong> hayo. Ujenzi huo unatarjiwa<br />

kumaliza ifikapo mwezi Oktoba 2012 na hii itakiwezesha<br />

chuo hicho kuongeza idadi ya wanafunzi zaidi ya wale<br />

wanaodahiliwa sasa na kuanzisha kozi zingine.<br />

MHE. DEUSDERIUS J. MIPATA: Mheshimiwa<br />

Mwenyekiti, nashukuru kwa majibu mazuri ya<br />

Mheshimiwa Naibu Waziri, lakini nina maswali mawili ya<br />

nyongeza.<br />

Wilaya ya Nkasi, iliendelea kukumbushia kuomba<br />

kibali cha kuajiri mwaka 2011 na 2012 kwa kuomba<br />

nafasi kadhaa, lakini nafasi hizo ambazo Mheshimiwa<br />

Waziri, anazisema kwenye jibu lake kwamba, tumepata<br />

25, hatukupata. Tumepata, badala yake tumepata<br />

wauguzi watatu na wahudumu (Medical Attendant)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!