28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Aidha, Kamati inaipongeza Serikali kwa kusimamia<br />

Wizara na taasisi zake ambazo zilikuwa zinadaiwa na<br />

TTCL na kulipa madeni haya kwa mwaka wa fedha<br />

2010/2011 ambayo yalifikia kiasi cha shilingi bilioni 6.3.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, utekelezaji wake ushauri<br />

wa Kamati ya Miundombinu umezingatiwa na<br />

Menejimenti ya TTCL wakati wote wa majadiliano<br />

ilikuwa makini kuhakikisha kuwa mkataba wao<br />

utakaosainiwa kati ya TTCL na NEC unalinda maslahi ya<br />

TTCL na Tanzania kwa ujumla.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, vile vile kulikuwa na hoja<br />

ya Kamati kwa kuwa Watanzania wenye vipaji vya<br />

ugunduzi kwa mara nyingine, Kamati inashauri Serikali<br />

ifanye juhudi za makusudi za kuhamasisha ugunduzi<br />

huo kwa kutunga sheria maalum au sera ili kuhakikisha<br />

kwa bidhaa zinazogunduliwa zinatengenezwa kwa<br />

wingi kwa ajili ya matumizi ya wananchi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, utekelezaji wake Serikali<br />

kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia<br />

inahamasisha utengenezaji wa bidhaa<br />

zinazogunduliwa kwa kuwezesha wagunduzi kwa<br />

kuwapatia mwega kama ifuatavyo. Tume imetoa<br />

mwega ufuatao; Sh. 829,641,000/= kwa ajili ya<br />

kubiashirashia matokeo ya utafiti na ugunduzi<br />

mbalimbali katika taasisi zifuatavyo:-<br />

Kwanza imetoa kwenye CAMARTEC, jumla ya sh.<br />

255,000,000/= zimetolewa kwa ajili ya kutengeneza na<br />

kupeleka sokoni trekta ambayo imetengenezwa<br />

CAMARTEC.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!