28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Je, kwa nini Serikali hamwajengei nyumba watoto<br />

hawa mkawaweka pamoja wakaweza kustirika na<br />

wakaweza kufanya kazi zao kwa vizuri zaidi na<br />

akapata maisha mazuri kama vile mnavyojenga<br />

makambi ya Jeshi, JKT na kadhalika<br />

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII:<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa niaba ya Waziri wa Afya<br />

na Ustawi wa Jamii, naomba kujibu maswali mawili ya<br />

Mheshimiwa Thuwayba, kama ifuatavyo:-<br />

(a) Ni kweli hakutakuwa na tatizo la kuwasilisha<br />

mpan<strong>go</strong> ili wenzetu muweze kuuona kwa sababu<br />

mpan<strong>go</strong> wa kwanza ulikuweko na ukaweza<br />

kutekelezeka na tathmini imefanyika na ndiyo ambayo<br />

imepelekea kuchakarisha mpan<strong>go</strong> mwingine. Kwa<br />

hiyo, kwenye hili hatutakuwa na tatizo la kuwasilisha<br />

huo mpan<strong>go</strong>.<br />

(b) Mheshimwia Mwenyekiti, ni kweli kuna NGO’s<br />

nyingi na watu binafsi ambao wameanzisha makazi<br />

kwa ajili ya kutoa matunzo kwa ajili ya watoto<br />

wanaoishi katika mazingira hatarishi na kwamba<br />

ukubwa wa tatizo hili ni kubwa kwa sababu asilimia<br />

kama 12 hivi ni ya watoto wanaoishi katika mazingira<br />

hatarishi. Katika hao tunafahamu kwamba zaidi ya<br />

asilimia 53 wanatunzwa na Bibi, Babu na asilimia<br />

nyingine 31 wanatunzwa na Ndugu na Jamaa.<br />

Ni kweli kwamba unaweza ukaamua uanzishe<br />

kiten<strong>go</strong> kwa ajili ya kuweza kuwatunza sasa watoto<br />

hao wote. Lakini tatizo hili ni kubwa na linahitaji

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!