17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Al</strong>irejea tena Mtsamudu, lakini hakukaa hapo mda mrefu<br />

akatakiwa kwenda Bombo akaenda pamoja na baadhi ya Muridi,<br />

akakaa huko siku kadha wa kadha aliwapa Ijaza huko watu wengi<br />

akafanya khalifa juu yao Sayyid Jaafar baadae alirejea Mtsamudu<br />

akadumu katika Masjid Ar hmani katika kumtaja Rabbu wake.<br />

Hakuwa akienda msikiti wa Ijumaa ila siku ya Ijumaa.<br />

Kupingwa na Sheikh Fadhil na Jawabu ya Sayyid na<br />

yaliyopita baina yao kwa ufupi.<br />

(Mungu awalie Radhi wote wawili na atunufaishe kwa wote)<br />

katika muda huu Sheikh Fadhili alimpinga Sayyid katika<br />

kuwapa Ijaza ya Tarika watu wa Hunzuwani pamoja na kuwa<br />

wao si Ahli kama alivyodai yeye hali ya kutoa Dalili kwa hadithi<br />

"Msiwape hekima wasiostahiki msije mkadhulumu" na katika<br />

hadithi nyingine au utimilifu wa hii au hadith khutba na mimi<br />

ndie Mufti wa Sawahil yote tangu Ras hafun mpaka Ras torfi na<br />

mimi nimezuia dhikri juu yenu au kuisoma mbele yangu. Seyyid<br />

alisimama akasema "Huna njia ya kuzuia dhikri", wakati huo<br />

zogo lilizuka kwa wingi msikitini watu walisimama na kelele<br />

zikaja juu. Kila mmoja akakamata silaha yake, Sayyid nae<br />

alinyanyua upanga wake Sayyid Abdallah Bin Sheikh alitoa nje<br />

upanga wake Sayyid Abdallah Bin Omar Khajar lake akelekea<br />

kwa Sayyid Abdallah Bin Omar aliyeitwa Abood Bin<br />

Muhammad Bin Omar, mtoto wa nduguye Abdallah Bin Omar ni<br />

katika Muridi wa Sayyid. Hapo hapo alimpiga kofi Ami yake<br />

kwa sababu ya wivu juu ya Sheikh wake hivi ndo anavyokuwa<br />

Muridi. Sultan Abdallah alikuwapo msikitini askari wake<br />

wakamzunguka Sayyid akatoka nje ya msikiti akanadi anaetaka<br />

Ijaza na ahudhurie wakahudhuria mbele yake wengi na yeye<br />

pamoja waliokua pamoja naye wanataka jina la Mwenyi Ezi<br />

Mungu. Baadae alitoa sauti akatoa nje upanga wake mbele ya<br />

Sultan Abdallah. Askari walipoona upanga walikimbia, Sayyid<br />

alimshika Sultan mkono akamwambia: "Sema <strong>Al</strong>lah" akawa<br />

anasema pamoja naye wakafuatana nyumbani na waliokuwapo<br />

waliwafuata na wote wanataja jina tukufu mpaka Sultan akaingia<br />

nyumbani kwake.<br />

Assayyid alielekea Mirontsi na kikundi katika Muridi wake<br />

walimfuata lakini hawakufika pamoja naye kwenye msikiti wa<br />

8.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!