17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MAISHA YAKE.<br />

Sasa naanzia:<br />

Utajo wa kuzaliwa kwake Mwenyi Ezi Mungu atakase siri<br />

yake Bwana <strong>Al</strong>-Maarufu alizaliwa mwaka Saf 1270 Hijra katika<br />

mtaa wa Bajanani, Moroni Ngazija.<br />

<strong>Al</strong>izaliwa katika nyumba iitwayo "Shashanyongo". Baba<br />

yake ndiye aliyemlea. <strong>Al</strong>isoma kuran Ngazija akawa anasoma<br />

kwa Tajwidi.<br />

Baadaye Baba yake alimpeleka Zanzibar si kwa<br />

jingine lolote ila kutafuta ilmu. <strong>Al</strong>ikaa Unguja kiasi ya miaka<br />

mine, takriban akazijua vilivyo fani za Tajwidi, Fiqih, Nahw na<br />

kiasi cha kutosha katika ilmu za hadithi na kuran. Ilmu zote hizi<br />

alizichukua kutokana na mjomba wake Sayyid <strong>Al</strong>i Bin Sultan<br />

Ahmad.<br />

Wakati wa safari yake, Babu yake upande wa mama<br />

yake Sultan Ahmad alimwambia; "Tutafutie ilmu ya haqiq<br />

(undani wa mambo yaliyohusiana na Uungu) kwani sisi hatujui<br />

vilivyo".<br />

Baada ya kusoma ilmu hizo alirejea Ngazija, akashughulika<br />

kukunjua ilmu zote hizi na kuita watu kwa Mwenyi Ezi Mungu<br />

katika msikiti wa Ijumaa. <strong>Al</strong>ianza kusomesha katika tafsiri ya<br />

kuran Jalalain katika wanafunzi wake waliosoma kwake fanni ni<br />

mwalimu wake wa Tajwidi Musa Bin Ahmad.<br />

Muhimu:<br />

Baba yake Sayyid, Mungu amuie Radhi ilikuwa<br />

hakupata mtoto mwanaume. Basi alipohiji akakusudia Madina<br />

kumzuru babu yake, Rehema ya Mwenyi Ezi Mungu na Amani<br />

yake ziwe juu yake, alimuomba Mwenyi Ezi Mungu katika Quba<br />

la mtume (SAW) amruzuku mtoto mwanaume kwa mke wake<br />

mlahirifu Mwana mkuu Bint Sultan Ahmad. <strong>Al</strong>iweka nadhiri<br />

hapo ikiwa Mwenyi Ezi Mungu kamruzuku mtoto mwanamme<br />

1.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!