17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wa Mwenyi Ezi Mungu ananiamrisha nitaje Ismul-Jalala".<br />

Sayyidat <strong>Al</strong>awiyya huyu ndiye ambaye Sheikh Abdallah<br />

Darwesh alisema katika kumtaja kumpa cheo chake:<br />

"Wangegawika Muridi mimi ningekuwa pamoja na kikundi<br />

alichomo Sayyidati <strong>Al</strong>awiyya".<br />

Katika siku hizo alikwenda Sayyid kwenye Bustani ya<br />

mama yake ijulikanayo kwa jina la Buzini akakaa huko siku<br />

nyingi awemo ndani ya Khalwa (Muepukano na kila kitu kwa<br />

kushughulika na Mwenyi Ezi Mungu) Hapo ilimjilia kwa daraja<br />

kubwa hali wapatao Mawalii wakubwa ilirejea nayo Mironi<br />

akaingia nyumbani kwa Sheikh Abdallah Bin Himid, akabaki<br />

pamoja naye huko siku tatu bila ya kuingia huko nyumba yoyote.<br />

Baada ya hapo alitoka Sheikh Abdallah Bin Himid<br />

na Sayyid akapanda juu ya sakafu ya nyumba akafika ukingoni<br />

akaanguka, nduguye Sayyid alimchukua mpaka nyumbani kwa<br />

mama yake akabaki nyumbani kiasi ya miezi sita na Ahwal zake<br />

zikizidi hatuwezi kukisia aliyoyapata katika yajayo kutoka na<br />

Mwenyi Ezi Mungu pamoja na yanayoteremka na miminio<br />

alipokuwa katika hali hiyo mara yumo ndani ya صحو mara<br />

nyingine محو pengine huwa عينةkatika na pengine katika<br />

(Maneno haya hayafasirika kwani ni Istilahi za Mabwana حضو ر<br />

Masufi. Hayana maana ya lugha wenyewe wanatambua kwa<br />

Dhawq. Kuyaonja na ekspiriense. - Mfasiri). <strong>Al</strong>iendelea hata<br />

akapata ambayo hatwezi kuyatambua vilivyo na tunahemewa na<br />

kudiriki hakika yake.<br />

Jadhba hii ni mash-hur Ngazija kwa Muridi wote. Yeye<br />

Sayyid alisema wakati katika Jadhba yake "Mimi ni kitu Azizi<br />

mimi ni kitu kilichotokana na Mtume (S.A.W) na ni hasha<br />

Mtume kumpa baba yangu kitu kidhalilifu". <strong>Al</strong>isema:<br />

(Mwenyi Ezi Mungu atunufaishe kwa baraka zake ) "Ingekuwa<br />

bahari ni wino na miti kalamu ili kudhibiti niliyoyaona<br />

bahari ingekwisha na miti ingemalizika kabla ya kumalizika<br />

mambo niliyoyaona katika Jadhba yangu hii".<br />

Baada ya hapo alirejea kukaa na watu kama ada yake ya<br />

mwanzo akasafiri kwenda Hinzwani akateremka Mtsamudu.<br />

Sultan Abdallah alikuwa Bambao alimtaka Sayyid aende huko na<br />

yeye akenda pamoja na baadhi ya Muridi. Sultan Abdallah<br />

akampokea kwa taadhima na mtukuzo, na yeye alikuwa<br />

akijihisabu kuwa ni katika jumla ya Muridu. Katika baadhi ya<br />

10.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!