17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

atapeleka pesa kidogo kwenye kuba la Mtume (SAW) kwa<br />

matumizi ya watumikiao alipolala Mtume. Mwenyi Ezi Mungu<br />

alipokea dua yake. Baada ya kurejea Ngazijah, mkewe alishika<br />

mimba akamzaa anayeandikwa habari zake hapa. Baba yake<br />

alimwita MA'ARUF. Na akapeleka zile pesa Madina kutekeleza<br />

nadhiri yake.<br />

Nasabu yake tukufu yeye ni Bwana wangu (Mwenyi<br />

Ezi Mungu atakase siri yake kubwa), Muhammed Bin Sheikh<br />

Ahmad Bin Sayyid Abubakar Bin Sayyid Ahmad Bin Sayyid<br />

Abubakar Bin Sayyid Abdallah Bin Sayyid Salim Bin Sayyid<br />

Ahmad Bin Sayyid Abdallah Bin Sayyid <strong>Al</strong>i Bin <strong>Al</strong>fakhir Ash-<br />

Sheikh Abubakar Bin Salim, <strong>Al</strong>iyetawafu Einat katika<br />

Hadhramaut. Hii ni kwa upande wa Baba yake, na kwa puande<br />

wa Mama yake, yeye ni mtoto wa Mwana Mkuu Bint Sultan<br />

Seyyid Ahmad na yeye ana nasibika na Abubakar Bin Salim.<br />

Ama mabibi zake wataharifu, mama yake baba yake Wamwinyi<br />

Bint Sayyid Eidarus anaye jukuliwa na Abubakar Bin Salim na<br />

mama yake ni Sayyidat Khadija Bin Sheikh Salim; na yeye vile<br />

vile anajukuliwa na Abubakar Bin Salim. Basi imejulikana kuwa<br />

nasabu yake amezungukwa na Sheikh Abubakar Bin Salim<br />

upande wa mabababa na upande wa mamama Mwenyi Ezi<br />

Mungu atunufaishe na yeye na wazee wake Amin.<br />

Wake zake watahilifu na utajo wa kubariki baba yake. Mke<br />

wake wa mwanzo ni mtoto wa ndugu yake mama yake Sayyidat<br />

Sittinaa Bint Sultan Sayyid Omar Bin Sayyid Hassan katika<br />

kabila ya <strong>Al</strong>masaiha BA-ALAWI ambaye baba yake ndie<br />

aliemposea na akamuoza baba yake mkewe Sultan Sayyid Omar<br />

alietajwa hapo juu kwa mahari ya wanawake mfano wake aliingia<br />

nyumbani hapo Moroni. Siku ya Tisa tangu kuingia nyumbani<br />

baba yake alifariki (Faida; Ijumaa ya mwanzo baada ya kuingia<br />

nyumbani Sayyidina Muhammed Bin Sheikh alimtuma mtu<br />

akamtakie Jokho kwa baba yake ili avae kwenda kuhudhuria sala.<br />

Sheikh Ahmad alimjibu "Mwambie mwanangu asubiri kwani<br />

Jokho hilo litakuwa lake baada ya siku chache. Siku hizo hizo<br />

mzee akafariki.- Nyongeza hii ni ya Mfasiri).<br />

Bibi huyu yaani Sayyidat Sittinaa alizaa nae watoto watatu<br />

Khadija, Hawdhat na Shama. Baadaye alimuoa Maryam Bint<br />

Beja, akazaa naye Sayyid Ahmad. Tena alimuoa Bint Sayyid<br />

Aqil na mwishoni kwa Ngazijah alimuoa bibi Halimah Bint Ilyas.<br />

2.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!