You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Yahya <strong>Al</strong>-Qadiria alipokea <strong>Al</strong>i Wafaa na yeye aliwapokea<br />
kutokana na baba yake Bahr Safa kutokana na Daud <strong>Al</strong>-Bakhili<br />
kutokana na Ahmad Bin Attaillah Assakandari kutokana Abi <strong>Al</strong>-<br />
Abbas <strong>Al</strong> Mursi (Huyu kaitwa <strong>Al</strong> Mursi kwa sababu alizaliwa<br />
Mercia, Spain wakati Spain ilikuwa ya kiislam baada ya waislamu<br />
kukaa huko kwa miaka wakatia misingi ya kila namna ya masomo<br />
na ustaarab huko ulaya. <strong>Al</strong>-Mursi alikuwa anakwenda kuhiji Jahazi<br />
ilivunjika wakazama watu wote akaokotwa hapo alipokuwa Qutba<br />
mkubwa kabisa Sayyidina Abdul Hassan Ash-Shadhili alimlazimu<br />
bwana huyu hata akawa yeye ndiye khalifa wake mkubwa kabisa -<br />
Mfasiri).<br />
Seyyidina <strong>Al</strong>-Imam Abdul Hassan alimrithi Abdu<br />
Ssalaam Bin Mashish na yeye alipokea kwa Abdulrahman <strong>Al</strong><br />
Madani Azzayyat kutokana na Taqiyyuddin <strong>Al</strong> Fuqayyir kutokana<br />
na <strong>Al</strong> Qutb Fakhruddin kutokana na Qutb Nuruddin Abdul Hassan<br />
kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Tajuddin kutokana <strong>Al</strong> Qutb Shamsuddin<br />
Assiwasi kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Zainuddin <strong>Al</strong> Qazwimi kutokana na<br />
<strong>Al</strong> Qutb Abi Is-Haq Ibrahim <strong>Al</strong>i Bisry kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Abu<br />
Qassim Ahmad <strong>Al</strong> Marwany kutokana na Qutb Abu Muhammed<br />
Said kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Saad kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Fathu Suud<br />
kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Said <strong>Al</strong> Qazzani kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Abi<br />
Muhammed Jabir kutokana na Qutb wa mwanzo Sayyiduna <strong>Al</strong><br />
Hassan kutokana na baba yake Sayyidina <strong>Al</strong>i Bin Abi Twalib na<br />
yeye kapokea kwa Bwana wa mwanzo na wa mwisho Bwana wetu<br />
Muhammed S.A.W. Hapa Silsila imemalizika.<br />
Sheikh Abdallah alimwambia <strong>Al</strong> Maaruf "Chukueni kazi<br />
yenu hii nyinyi Ahl Bait Rasulillah. Sisi ni watumishi wenu katika<br />
kazi hii".<br />
<strong>Al</strong> Maaruf alipopewa ukhalifa alirejea Moroni akasimamisha<br />
Daira na akawa anawapa watu Ijaza wakakusanyika kwake watu<br />
namna nyingi Sheikh Abdallah alikuwa huja Moroni na<br />
kuhudhuria Daira pamoja naye hata bwana wangu (Siri yake<br />
imetakaswa alimchukua Sheikh Abdallah nyumbani kwake ili<br />
awape Ijaza watu wa huko nyumbani Sheikh Abdallah akampa<br />
ijaza mama yake Assayid na ndugu zake wanawake Sayyidat<br />
<strong>Al</strong>awiyyah, Sayyidat Batul, Sayyidat Fatuma na Sayyidat Ihsan<br />
ndugu zake baba mmoja mama mmoja aliendelea Sheikh<br />
Abdallah kwenda Moroni na kurudi Itsandaa.<br />
6