17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Yahya <strong>Al</strong>-Qadiria alipokea <strong>Al</strong>i Wafaa na yeye aliwapokea<br />

kutokana na baba yake Bahr Safa kutokana na Daud <strong>Al</strong>-Bakhili<br />

kutokana na Ahmad Bin Attaillah Assakandari kutokana Abi <strong>Al</strong>-<br />

Abbas <strong>Al</strong> Mursi (Huyu kaitwa <strong>Al</strong> Mursi kwa sababu alizaliwa<br />

Mercia, Spain wakati Spain ilikuwa ya kiislam baada ya waislamu<br />

kukaa huko kwa miaka wakatia misingi ya kila namna ya masomo<br />

na ustaarab huko ulaya. <strong>Al</strong>-Mursi alikuwa anakwenda kuhiji Jahazi<br />

ilivunjika wakazama watu wote akaokotwa hapo alipokuwa Qutba<br />

mkubwa kabisa Sayyidina Abdul Hassan Ash-Shadhili alimlazimu<br />

bwana huyu hata akawa yeye ndiye khalifa wake mkubwa kabisa -<br />

Mfasiri).<br />

Seyyidina <strong>Al</strong>-Imam Abdul Hassan alimrithi Abdu<br />

Ssalaam Bin Mashish na yeye alipokea kwa Abdulrahman <strong>Al</strong><br />

Madani Azzayyat kutokana na Taqiyyuddin <strong>Al</strong> Fuqayyir kutokana<br />

na <strong>Al</strong> Qutb Fakhruddin kutokana na Qutb Nuruddin Abdul Hassan<br />

kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Tajuddin kutokana <strong>Al</strong> Qutb Shamsuddin<br />

Assiwasi kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Zainuddin <strong>Al</strong> Qazwimi kutokana na<br />

<strong>Al</strong> Qutb Abi Is-Haq Ibrahim <strong>Al</strong>i Bisry kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Abu<br />

Qassim Ahmad <strong>Al</strong> Marwany kutokana na Qutb Abu Muhammed<br />

Said kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Saad kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Fathu Suud<br />

kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Said <strong>Al</strong> Qazzani kutokana na <strong>Al</strong> Qutb Abi<br />

Muhammed Jabir kutokana na Qutb wa mwanzo Sayyiduna <strong>Al</strong><br />

Hassan kutokana na baba yake Sayyidina <strong>Al</strong>i Bin Abi Twalib na<br />

yeye kapokea kwa Bwana wa mwanzo na wa mwisho Bwana wetu<br />

Muhammed S.A.W. Hapa Silsila imemalizika.<br />

Sheikh Abdallah alimwambia <strong>Al</strong> Maaruf "Chukueni kazi<br />

yenu hii nyinyi Ahl Bait Rasulillah. Sisi ni watumishi wenu katika<br />

kazi hii".<br />

<strong>Al</strong> Maaruf alipopewa ukhalifa alirejea Moroni akasimamisha<br />

Daira na akawa anawapa watu Ijaza wakakusanyika kwake watu<br />

namna nyingi Sheikh Abdallah alikuwa huja Moroni na<br />

kuhudhuria Daira pamoja naye hata bwana wangu (Siri yake<br />

imetakaswa alimchukua Sheikh Abdallah nyumbani kwake ili<br />

awape Ijaza watu wa huko nyumbani Sheikh Abdallah akampa<br />

ijaza mama yake Assayid na ndugu zake wanawake Sayyidat<br />

<strong>Al</strong>awiyyah, Sayyidat Batul, Sayyidat Fatuma na Sayyidat Ihsan<br />

ndugu zake baba mmoja mama mmoja aliendelea Sheikh<br />

Abdallah kwenda Moroni na kurudi Itsandaa.<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!