17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

askari ambao walitafuta baadhi ya watu wajulikanao<br />

wakawachukua baadhi yao. Walimtafuta As-Sayyid lakini yeye<br />

alijificha hawakuweza kutambua alipokuwa. Mitsamhuli<br />

ilikuwapo jahazi inakwenda Zanzibar, Sayyid alipanda usiku<br />

wakati ambao wanaomtafuta wameghafilika walipokuwa<br />

hawakumpataSayyid, nchi kavu wazungu walipanda kwenye<br />

jahazi ili watizame ikiwa hajajificha humo jahazini. Walipoingia<br />

jahazini wakaanza kupekua, palivuma upepo mkali na mawimbi<br />

yakachafuka, hapo hapo waliteremka bila ya kumuona, "Na wapi<br />

jicho pofu litaona jua?" wakati huo mnyororo uliofungiwa jahazi<br />

na nanga ulikatika na Jahazi ikaingia baharini matanga<br />

yakapandishwa na jahazi ikatweka kuelekea Zanzibar.<br />

Imewachukua Sayyid na Muridi wake wawili Ahmad<br />

Nakhodha na Abdul-R-rabb jahazi ilipokuwa mbali na nchi kavu<br />

Sayyid alisimama juu ya sitaha akababaika mmoja katika muridi<br />

wake akasema: "Eeh bwana wangu, umejitokeza watu watakuua<br />

iwe sababu ya sisi kuangamia", akajibu "Usihuzunike na sisi kwa<br />

kupenda Mwenyi Ezi Mungu baada ya salat aljumaa tutaingia<br />

Zanzibar. Safari yake ilikuwa jioni ya jumanne. Ikatokea vile vile<br />

kama alivyosema kwani waliingia Zanzibar baada ya salat<br />

aljumaa.<br />

<strong>Al</strong>iishi Sayyid Unguja hata mpaka alipotolewa Sultan<br />

Sayyid <strong>Al</strong>i Ngazija Dola ya kifaransa ndio iliyomtoa. Hapo<br />

alirejea Ngazija na hakusafiri kamwe. Hakuondoka huko hata<br />

Mwenyi Ezi Mungu akamchukua hali ya kuwa yeye Sayyid<br />

karidhia na karidhiwa.<br />

منا فيو رض هللا عنو<br />

12.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!