You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
MANAQIB YA AL-MAARUF<br />
Baada ya yote haya ni Manaqibu ya Walii Mkubwa kabisa<br />
aliyetajwa kwa jina hapo juu, yaliandikwa na mmoja katika<br />
makhalifa wake wakubwa Sayyid Ahmad bin Abdul Rahmani Ibn<br />
Sultan <strong>Al</strong>awi. Yalifasiriwa na <strong>Al</strong> <strong>Al</strong>lama Sayyid Kaab Ibn Sayyid<br />
Ahmad Zakiy <strong>Al</strong>-Masalah.<br />
Sasa inafasiriwa kwa Kiswahili na mtoto wa ndugu yake<br />
Walii huyo, Omar Abdallah Bin Sheikh Ahmad ambaye<br />
hujulikana kwa jina la Mwinyi Baraka.<br />
Huyu mfasiri kwa Kiswahili ameazimia dua zote aziache bila<br />
kufasiriwa kwani muhimu ni kulumiwa kama zilivyopokewa.<br />
ii.