28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale<br />

vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa<br />

lishe au madini mwilini.<br />

Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na kuku mgonjwa<br />

Kuku mwenye afya nzuri Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)<br />

Macho na sura angavu<br />

Hupenda kula na kunywa maji<br />

Pua zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya<br />

laini na yaliyopangika vizuri<br />

Hupumua kwa utulivu<br />

Sehemu ya kutolea haja huwa kavu<br />

Kinyesi kikavu, cheupe na kisicho na rangi<br />

Hutaga mayai kawaida<br />

Huonekana mchovu na dhaifu<br />

Hula na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida<br />

Hutoa kamasi puani, ute na matongotongo; manyoya<br />

yaliyovurugika<br />

Hupumua kwa shida na kwa sauti<br />

Sehemu ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na<br />

kinyesi kuganda<br />

Huharisha, kinyesi huwa na damu au minyoo<br />

Hutaga mayai machache au husimama kutaga kabisa<br />

Huwa na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!