MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale<br />
vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa<br />
lishe au madini mwilini.<br />
Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na kuku mgonjwa<br />
Kuku mwenye afya nzuri Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)<br />
Macho na sura angavu<br />
Hupenda kula na kunywa maji<br />
Pua zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya<br />
laini na yaliyopangika vizuri<br />
Hupumua kwa utulivu<br />
Sehemu ya kutolea haja huwa kavu<br />
Kinyesi kikavu, cheupe na kisicho na rangi<br />
Hutaga mayai kawaida<br />
Huonekana mchovu na dhaifu<br />
Hula na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida<br />
Hutoa kamasi puani, ute na matongotongo; manyoya<br />
yaliyovurugika<br />
Hupumua kwa shida na kwa sauti<br />
Sehemu ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na<br />
kinyesi kuganda<br />
Huharisha, kinyesi huwa na damu au minyoo<br />
Hutaga mayai machache au husimama kutaga kabisa<br />
Huwa na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
5