MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Tiba<br />
Madoa ya damu kwenye misuli na<br />
mafuta kuzunguka moyo<br />
• Hakuna tiba maalum<br />
• Pata ushauri wa daktari<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Mizoga, ndege wagonjwa, makapi na vifaa vingine vilivyochafuliwa na kuku wagonjwa vichomwe moto<br />
au kuzikwa.<br />
• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa kwenye mabanda na vyombo<br />
• Baada ya kumaliza kuwauza kuku wote, fanya usafi wa mabanda na kupuliza dawa<br />
• Weka utaratibu wa kuhakikisha wafanyakazi , wageni na ndege kutoka kwa majirani hawaingii ovyo<br />
kwenye shamba/banda<br />
• Kuku wanaotoka nje ya shamba wawekwe kwenye karantini kabla ya kuingizwa shambani/bandani<br />
• Zuia ndege wa porini wasiingie kwenye mabanda<br />
3.2.7 UgoNjWA U<strong>NA</strong>oATHIrI MfUMo WA fAHAMU (AvIAN eNcePHALoMYeLITIS - Ae)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku wadogo na kuathiri mfumo wa fahamu.<br />
Ugonjwa unaweza kutokea katika majira yoyote ya mwaka.<br />
38 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga