28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Tiba<br />

Madoa ya damu kwenye misuli na<br />

mafuta kuzunguka moyo<br />

• Hakuna tiba maalum<br />

• Pata ushauri wa daktari<br />

Kuzuia na Kinga<br />

• Mizoga, ndege wagonjwa, makapi na vifaa vingine vilivyochafuliwa na kuku wagonjwa vichomwe moto<br />

au kuzikwa.<br />

• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa kwenye mabanda na vyombo<br />

• Baada ya kumaliza kuwauza kuku wote, fanya usafi wa mabanda na kupuliza dawa<br />

• Weka utaratibu wa kuhakikisha wafanyakazi , wageni na ndege kutoka kwa majirani hawaingii ovyo<br />

kwenye shamba/banda<br />

• Kuku wanaotoka nje ya shamba wawekwe kwenye karantini kabla ya kuingizwa shambani/bandani<br />

• Zuia ndege wa porini wasiingie kwenye mabanda<br />

3.2.7 UgoNjWA U<strong>NA</strong>oATHIrI MfUMo WA fAHAMU (AvIAN eNcePHALoMYeLITIS - Ae)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku wadogo na kuathiri mfumo wa fahamu.<br />

Ugonjwa unaweza kutokea katika majira yoyote ya mwaka.<br />

38 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!