28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kuzuia na Kinga<br />

• Banda (kuta, paa na maranda) yapuliziwe dawa/poda ya kuua wadudu.<br />

• Kuku mmoja mmoja au kundi lote linyunyuziwe dawa/poda inayofaa kuua wadudu.<br />

• Maranda yenye wadudu yachomwe moto.<br />

3.5.2 KUPe WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA NgoZI (AcArI INfeSTATIoN)<br />

Maelezo<br />

Hawa ni wadudu aina ya kupe na wadudu wengine wanaosababisha upele kwenye ngozi ya kuku/ndege. Ndege<br />

aina zote na ndege wa porini wanaweza kuathirika na wadudu hawa.<br />

Dalili<br />

Tiba<br />

• Kuku wanaonyesha ukosefu mkubwa wa damu<br />

• Muwasho wa ngozi<br />

• Ngozi ya kuku kutoka magamba<br />

• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />

• Kuku anaonekana mchovu na hatulii<br />

• Mara nyingi vifo ni vichache<br />

• Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua kupe.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

52 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!