MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kuzuia na Kinga<br />
• Banda (kuta, paa na maranda) yapuliziwe dawa/poda ya kuua wadudu.<br />
• Kuku mmoja mmoja au kundi lote linyunyuziwe dawa/poda inayofaa kuua wadudu.<br />
• Maranda yenye wadudu yachomwe moto.<br />
3.5.2 KUPe WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA NgoZI (AcArI INfeSTATIoN)<br />
Maelezo<br />
Hawa ni wadudu aina ya kupe na wadudu wengine wanaosababisha upele kwenye ngozi ya kuku/ndege. Ndege<br />
aina zote na ndege wa porini wanaweza kuathirika na wadudu hawa.<br />
Dalili<br />
Tiba<br />
• Kuku wanaonyesha ukosefu mkubwa wa damu<br />
• Muwasho wa ngozi<br />
• Ngozi ya kuku kutoka magamba<br />
• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />
• Kuku anaonekana mchovu na hatulii<br />
• Mara nyingi vifo ni vichache<br />
• Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua kupe.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
52 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga