28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Maelezo<br />

Magonjwa yatokanayo na upungufu wa lishe yanasababishwa na vyakula vya kuku kukosa virutubisho muhimu<br />

kama vile Proteini, Wanga, Vitamini na Madini; au husababishwa na mfumo wa fiziolojia kutokufanya kazi vizuri<br />

katika mwili wa kuku. Magonjwa ya kawaida ya upungufu wa lishe kwenye kuku yanatokana na upungufu wa<br />

Vitamini, Protini au Madini.<br />

3.6.1 UPUNgUfU WA vITAMINI (AvITAMINoSIS)<br />

Maelezo<br />

Upungufu wa Vitamini ni uhaba wa Vitamini mbalimbali katika mwili wa kuku au ndege kutokana na kukosekana<br />

kwa Vitamini hizo katika vyakula, hivyo kusababisha dalili za ukosefu katika kuku. Ukosefu huathiri aina zote za<br />

ndege na umri.<br />

Dalili<br />

• Ukungu kwenye macho<br />

• Kuku hawakui vizuri, wanadumaa<br />

• Vifaranga wadogo kuharisha<br />

• Kuku kukonda<br />

• Vidole vya kuku vinapinda na kuku kushindwa kutembea<br />

• Ngozi kuathirika<br />

• Ulimi kuvimba<br />

• Magamba madogo kuzunguka mdomo na macho<br />

• Miguu kupooza<br />

• Vifo ni vichache<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!