28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Tahadhari: Wageni, wafanyakazi<br />

na magari yanaweza kusambaza<br />

ugonjwa kutoka shamba hadi<br />

shamba au banda hadi banda<br />

Dalili<br />

Vifaranga<br />

10 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

• Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au mara tu baada ya kuanguliwa<br />

• Hujikusanya pamoja karibu na joto<br />

• Uharo kuganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja<br />

• Vifo kwenye vifaranga vinaweza kufikia hadi asilimia 50.<br />

Kuku wakubwa<br />

• Vifo vya ghafla Kuharisha kinyesi cha majimaji na cha rangi ya njano<br />

• Kuku kuharisha<br />

• Kupungua kwa uzito<br />

• Kuku wa mayai hupunguza utagaji<br />

• Kuku anaonekana mchovu<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

Mabadiliko muhimu katika mzoga wa kifaranga ni:<br />

• Ini kuvimba na kuvia<br />

• Uvimbe mweupe mdogo mdogo kwenye ini<br />

• Mapafu kuvia<br />

• Utumbo kuvimba<br />

• Njano ya yai kutapakaa tumboni

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!