MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Tahadhari: Wageni, wafanyakazi<br />
na magari yanaweza kusambaza<br />
ugonjwa kutoka shamba hadi<br />
shamba au banda hadi banda<br />
Dalili<br />
Vifaranga<br />
10 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
• Vifaranga wanatotolewa wakiwa wamekufa au mara tu baada ya kuanguliwa<br />
• Hujikusanya pamoja karibu na joto<br />
• Uharo kuganda kwenye manyoya ya sehemu ya kutolea haja<br />
• Vifo kwenye vifaranga vinaweza kufikia hadi asilimia 50.<br />
Kuku wakubwa<br />
• Vifo vya ghafla Kuharisha kinyesi cha majimaji na cha rangi ya njano<br />
• Kuku kuharisha<br />
• Kupungua kwa uzito<br />
• Kuku wa mayai hupunguza utagaji<br />
• Kuku anaonekana mchovu<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
Mabadiliko muhimu katika mzoga wa kifaranga ni:<br />
• Ini kuvimba na kuvia<br />
• Uvimbe mweupe mdogo mdogo kwenye ini<br />
• Mapafu kuvia<br />
• Utumbo kuvimba<br />
• Njano ya yai kutapakaa tumboni