28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kuzuia na Kinga<br />

• Iwapo ndani ya shamba moja kuna kuku wa aina tofauti, k.m. vifaranga, kuku wazazi, kuku wakubwa,<br />

jaribu kuwatenganisha ili mabanda yao yasikaribiane<br />

• Pale inapowezekana, jaribu kupanga utaratibu wa kila kundi la kuku lishughulikiwe na mfanyakazi wake<br />

ili kuzuia kueneza maambukizi.<br />

• Hakikisha kuku wagonjwa wanatengwa na wale wazima<br />

• Tumia maji yaliyowekwa dawa aina ya klorini<br />

• Weka utaratibu wa kuhakikisha watu, wanyama, ndege wa aina nyingine na ndege wa porini hawazururi<br />

shambani.<br />

3.1.6 UgoNjWA SUgU WA MfUMo WA HeWA (cHroNIc reSPIrATorY DISeASe-crD)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao hushambulia zaidi kuku na bata mzinga.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

• Chanzo cha maambukizi ni maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye<br />

vimelea. Pia kupitia mfumo wa hewa kutoka ndege wagonjwa.<br />

• Njia kuu ya kuenea kwa maambukizi ni kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi<br />

kizazi.<br />

• Tahadhari: Wageni, wafanyakazi na magari yanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shamba hadi shamba<br />

au banda hadi banda<br />

18 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!