MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Dalili<br />
Kuku wanaweza wasionyeshe dalili zozote za ugonjwa, lakini dalili zifuatazo zinaweza kuonekana:<br />
• Vifo vya ghafla vya idadi kubwa ya kuku waliokuwa na afya<br />
• Kuku wanakonda<br />
• Kuku wanapumua kwa shida, wanakohoa na kupiga chafya<br />
• Uharo wa rangi ya kijivu, njano au kijani na unaonuka<br />
• Vifaranga wanaonyesha ulemavu<br />
• Kuvimba magoti na kifundo cha mbawa<br />
• Kichwa, upanga na undu hugeuka kuwa rangi nyeusi au zambarau<br />
• Vifo vya kuku vinaweza kufikia asilimia 20<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
Tiba<br />
• Madoa ya damu kwenye mapafu, utumbo na kuzunguka moyo.<br />
• Ini huvimba, laini na kuonekana kama limepikwa.<br />
• Uchafu mgumu uliogandamana katika eneo linalozunguka utumbo, kwenye masikio na machoni<br />
• Pua na mdomo kuwa na makamasi mazito na machafu<br />
• Yapo madawa mengi aina ya antibiotiki na sulfa ambayo yanaweza kutumika kwa ajili ya tiba na kinga.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Utaratibu ulio mzuri zaidi ni kuondoa kuku wote kutoka kwenye shamba/banda ambalo ugonjwa<br />
umethibitishwa, kupuliza dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza vifaranga na kuku wapya<br />
• Mabanda yote ya kuku yapuliziwe dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza kuku wapya.<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
15