28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Dalili<br />

Kuku wanaweza wasionyeshe dalili zozote za ugonjwa, lakini dalili zifuatazo zinaweza kuonekana:<br />

• Vifo vya ghafla vya idadi kubwa ya kuku waliokuwa na afya<br />

• Kuku wanakonda<br />

• Kuku wanapumua kwa shida, wanakohoa na kupiga chafya<br />

• Uharo wa rangi ya kijivu, njano au kijani na unaonuka<br />

• Vifaranga wanaonyesha ulemavu<br />

• Kuvimba magoti na kifundo cha mbawa<br />

• Kichwa, upanga na undu hugeuka kuwa rangi nyeusi au zambarau<br />

• Vifo vya kuku vinaweza kufikia asilimia 20<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

Tiba<br />

• Madoa ya damu kwenye mapafu, utumbo na kuzunguka moyo.<br />

• Ini huvimba, laini na kuonekana kama limepikwa.<br />

• Uchafu mgumu uliogandamana katika eneo linalozunguka utumbo, kwenye masikio na machoni<br />

• Pua na mdomo kuwa na makamasi mazito na machafu<br />

• Yapo madawa mengi aina ya antibiotiki na sulfa ambayo yanaweza kutumika kwa ajili ya tiba na kinga.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Kuzuia na Kinga<br />

• Utaratibu ulio mzuri zaidi ni kuondoa kuku wote kutoka kwenye shamba/banda ambalo ugonjwa<br />

umethibitishwa, kupuliza dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza vifaranga na kuku wapya<br />

• Mabanda yote ya kuku yapuliziwe dawa za viuatilifu kabla ya kuingiza kuku wapya.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!