28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kuku wakubwa<br />

• Kuku wakubwa huonyesha dalili za ugonjwa sugu<br />

• Kupauka kwa upanga na masikio kwa sababu ya kupungukiwa damu<br />

• Utagaji wa mayai hupungua<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

Tiba<br />

• Njano ya yai iliyotapakaa tumboni mwa kuku<br />

• Uvimbe mdogo mdogo wa rangi ya kijivu ulioenea kwenye moyo,firigisi, misuli, mapafu na sehemu ya<br />

nje ya utumbo katika kuku wakubwa (umri wa wiki 2 hadi 5)<br />

Uvimbe mdogo mdogo wa rangi ya<br />

kijivu ulioenea kwenye misuli ya moyo<br />

• Yapo madawa mengi aina ya antibiotiki ambayo yanaweza kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa.<br />

Lakini madawa haya hayawezi kumaliza ugonjwa shambani kabisa.<br />

• Pata ushauri wa daktari.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!