MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Tiba<br />
• Hakuna tiba<br />
• Kuku wanaweza kupewa vitamini na glucose kupunguza makali ya ugonjwa<br />
• Antibiotiki na maji yenye chumvi husaidia maambukizi nyemelezi.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Kuku wote walioathirika waondolewe shambani/bandani.<br />
• Mizoga, makapi na vifaa vingine vilivyochafuliwa na kuku wagonjwa vichomwe moto au kuzikwa.<br />
• Pulizia kemikali za kuua wadudu<br />
• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa japokuwa inawezekana visiuwe<br />
virusi wote<br />
• Kuku wapatiwe chanjo wakiwa na wiki 6. Maeneo mengine chanjo inatakiwa kufanywa mapema zaidi.<br />
(Angalia Ratiba).<br />
3.2.5 SArATANI <strong>YA</strong> <strong>KUKU</strong> (AvIAN LYMPHoID LeUcoSIS)<br />
Maelezo<br />
Saratani hii husababishwa na virusi na hushambulia zaidi kuku katika ufugaji wa kibiashara wenye kuku wengi.<br />
Kuku wenye umri wa wiki 16 au zaidi ndio wanaoonyesha dalili .<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
• Maambukizi huenea kupitia mayai yenye vimelea, kuku au mashine za kutotolea zilizochafuliwa.<br />
• Kuku wagonjwa kugusana na ambao hawajaambukizwa<br />
• Binadamu, nzi na aina nyingine za ndege pia zinaweza kusambaza maambukizi.<br />
34 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga