MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Tiba<br />
• Tumia Madini stahiki kulingana na tatizo.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Changanya Madini kwenye chakula na maji ya kuku.<br />
• Chakula cha kuku kijumuishe virutubisho vyenye asili ya wanyama ambavyo ni chanzo kizuri cha Madini<br />
3.6.3 UPUNgUfU WA ProTINI (ProTeIN DefIcIeNcIeS)<br />
Maelezo<br />
Upungufu wa Protini ni uhaba wa Protini mbalimbali katika mwili wa kuku/ndege kutokana na kukosekana kwa<br />
Protini hizo katika vyakula na hivyo kusababisha dalili za ugonjwa katika kuku. Ukosefu huathiri aina zote za<br />
ndege na umri.<br />
Dalili<br />
• Manyoya ya kuku/ndege hutimka<br />
• Kuku wanatafunana na kudonoana<br />
• Miguu kupooza na kukosa nguvu<br />
• Vifo ni vichache<br />
Tiba<br />
• Tumia Protini (Amino Acid) stahiki kulingana na tatizo.<br />
• Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
Changanya Proteni yenye ubora wa juu kwenye chakula cha kuku.<br />
Chakula cha kuku kijumuishe virutubisho vyenye asili ya wanyama ambavyo ni chanzo kizuri cha Proteni<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
57