MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Tiba<br />
Dawa za Minyoo – kuwekwa kwenye maji au chakula.<br />
Pata ushauri wa daktari.<br />
Kuzuia na Kinga<br />
Shamba/mabanda yafanyiwe usafi na kupuliziwa dawa za kuuwa wadudu<br />
Tenganisha kuku wadogo na wakubwa.<br />
Mabanda yawe makavu kadri iwezekanavyo<br />
Kinyesi cha kuku kikusanywe mara kwa mara na kusambazwa juani ili kikauke na kuua lava<br />
Zuia kuku kula wadudu<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
49