28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Kuku huzubaa na kuacha kula<br />

• Kuku hukohoa, hupiga chafya na kupumua kwa shida<br />

• vifo vinaweza kufikia asilimia 100, kutegemea na umri na aina ya ndege<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

Ugonjwa huathiri zaidi mfumo wa hewa na njia ya chakula, hivyo mabadiliko yanayoonekana kwenye mzoga ni<br />

pamoja na:<br />

• Madoa ya damu kwenye mfumo wa hewa<br />

• Kamasi nzito zenye rangi ya njano kwenye koromeo<br />

• Utandu mweupe kwenye mifuko ya hewa<br />

• Bandama kuvimba<br />

• Uvimbe kwenye kichwa na eneo la shingo<br />

• Madoa madogo madogo ya damu kwenye kifua, mafuta na utandu wa tumboni<br />

• Damu kuvia kwenye mfumo wa usagaji chakula - juju, firigisi, tumbo na utumbo<br />

Kuvia damu –<br />

Utumbo (kushoto)<br />

na Tumbo (kulia)<br />

26 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!