MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
• Kuku huzubaa na kuacha kula<br />
• Kuku hukohoa, hupiga chafya na kupumua kwa shida<br />
• vifo vinaweza kufikia asilimia 100, kutegemea na umri na aina ya ndege<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
Ugonjwa huathiri zaidi mfumo wa hewa na njia ya chakula, hivyo mabadiliko yanayoonekana kwenye mzoga ni<br />
pamoja na:<br />
• Madoa ya damu kwenye mfumo wa hewa<br />
• Kamasi nzito zenye rangi ya njano kwenye koromeo<br />
• Utandu mweupe kwenye mifuko ya hewa<br />
• Bandama kuvimba<br />
• Uvimbe kwenye kichwa na eneo la shingo<br />
• Madoa madogo madogo ya damu kwenye kifua, mafuta na utandu wa tumboni<br />
• Damu kuvia kwenye mfumo wa usagaji chakula - juju, firigisi, tumbo na utumbo<br />
Kuvia damu –<br />
Utumbo (kushoto)<br />
na Tumbo (kulia)<br />
26 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga