MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
3.3.2 HISToMo<strong>NA</strong>SI (HISToMoNIASIS)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na Protozoa ambao hushambulia zaidi bata mzinga, kuku wanaweza kuwa na vimelea<br />
lakini hawaonyeshi dalili, ijapokuwa pia wanaweza kuathirika. Bata na kuku wadogo ndio wanaoathirika zaidi.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha bata wagonjwa kuchafua maji na chakula, udongo, na maranda<br />
na mayai.<br />
• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa na Protozoa<br />
• Maambukizi yanaweza pia kupitia kwenye yai na kifaranga kuanguliwa kikiwa na ugonjwa.<br />
• Kichwa kinageuka rangi na kuwa cheusi<br />
• Kinyesi cha njano<br />
• Kinyesi kugandamana kwenye njia ya haja<br />
• Mara nyingi vifo huwa vingi<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
• Utumbo mkubwa kuvimba na kuwa na vidonda<br />
• Utumbo mkubwa wenye rangi ya kijivu na njano, na unaweza kuwa na damu<br />
• Maini yana vidonda vya duara vyenye rangi ya njano na kijani<br />
• Uvimbe wa utandu unaozunguka utumbo iwapo vidonda vitatoboa utumbo<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
43