28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

3.3.2 HISToMo<strong>NA</strong>SI (HISToMoNIASIS)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na Protozoa ambao hushambulia zaidi bata mzinga, kuku wanaweza kuwa na vimelea<br />

lakini hawaonyeshi dalili, ijapokuwa pia wanaweza kuathirika. Bata na kuku wadogo ndio wanaoathirika zaidi.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha bata wagonjwa kuchafua maji na chakula, udongo, na maranda<br />

na mayai.<br />

• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa na Protozoa<br />

• Maambukizi yanaweza pia kupitia kwenye yai na kifaranga kuanguliwa kikiwa na ugonjwa.<br />

• Kichwa kinageuka rangi na kuwa cheusi<br />

• Kinyesi cha njano<br />

• Kinyesi kugandamana kwenye njia ya haja<br />

• Mara nyingi vifo huwa vingi<br />

Uchunguzi wa Mzoga<br />

• Utumbo mkubwa kuvimba na kuwa na vidonda<br />

• Utumbo mkubwa wenye rangi ya kijivu na njano, na unaweza kuwa na damu<br />

• Maini yana vidonda vya duara vyenye rangi ya njano na kijani<br />

• Uvimbe wa utandu unaozunguka utumbo iwapo vidonda vitatoboa utumbo<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!