MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku wagonjwa kuchafua maji na chakula. Mayai yenye vimelea<br />
pia yanaweza kuwa chanzo cha maambukizi.<br />
• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia yai kutoka kuku mwenye ugonjwa kwenda kwa kifaranga (maambukizi<br />
wima)<br />
• Ndege wadogo kupata maambukizi moja kwa moja kutoka kuku wakubwa na kusambaa kwenye kundi<br />
(maambukizi mlalo).<br />
• Kichwa, shingo na misuli kutetemeka<br />
• Kuku hupoteza uwezo wa kutembea<br />
• Kuku wanakalia magoti badala ya kusimama<br />
• Kupooza<br />
• Kuku kulala kifudifudi<br />
• Kuku wengi huambukizwa lakini vifo ni vichache, asilimia 5 hadi 50.<br />
Uchunguzi wa Mzoga<br />
• Utandu kwenye ubongo umevia damu<br />
Tiba<br />
• Hakuna tiba maalum<br />
• Pata ushauri wa daktari<br />
Kuzuia na Kinga<br />
• Kuku wagonjwa wachinjwe au kuchomwa moto.<br />
• Weka utaratibu madhubuti wa kupuliza dawa za viuatilifu vinavyofaa kwenye mabanda na vyombo<br />
• Mayai kwa ajili ya kutotoa vifaranga yatoke kwenye kuku wasio na ugonjwa<br />
• vifaranga vya siku moja vipatiwe chanjo dhidi ya ugonjwa<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
39