MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
3.2.6 MAfUA MAKALI <strong>YA</strong> NDege (HIgHLY PATHogeNIc AvIAN INfLUeNZA)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia aina zote za ndege pamoja na binadamu.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Chanzo cha maambukizi ni mayai yaliyoambukizwa, ndege wagonjwa na mashine za kutotolea<br />
zilizochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na wenye vimelea.<br />
• Maambukizi huenea kupitia maji maji ya kuku wagonjwa, kinyesi, vifaa na nguo za wafanyakazi na maji ya<br />
kunywa.<br />
• Mayai yaliyoambukizwa yakipasuka katika mashine za kutotolea yanaweza kuambukiza vifaranga na<br />
kufanana na maambukizi yanayotoka kizazi kimoja hadi kingine<br />
• Vifo vya ghafla<br />
• Kelele za kawaida za kuku hazisikiki tena<br />
• Kuku hukohoa<br />
• Pua kutoa makamasi na macho machozi<br />
• Kuvimba kwa uso<br />
• Upanga na undu zinakuwa na rangi ya bluu<br />
• Uharo (mara nyingi wa rangi ya kijani)<br />
• Dalili za kuathirika mfumo wa fahamu, kama vile kupooza<br />
• Kuku wengi huambukizwa lakini vifo ni vichache, asilimia 5 hadi 50.<br />
36 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga