28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

3.2.4 NDUI <strong>YA</strong> <strong>KUKU</strong> (foWL Pox)<br />

Maelezo<br />

Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambavyo hushambulia zaidi kuku, jamii ya bata na aina nyingi ya ndege<br />

pori. Kuku na ndege wa umri tofauti wote huweza kushambuliwa na sehemu zinazoathirika zaidi ni zile zisizo na<br />

manyoya. Virusi vinaweza kuishi katika mazingira kwa muda mrefu.<br />

jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />

Dalili<br />

• Chanzo cha maambukizi ni vifaa/vyombo vya shambani vilivyochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa<br />

na wenye vimelea.<br />

• Maambukizi pia kuenea kupitia wadudu wanaouma kama chawa, kupe, nzi weusi na mbu.<br />

• Maambukizi pia kuenea kupitia majeraha wanayoyapata kuku wanapopigana na kukwaruzana au<br />

kugusana<br />

• Maambukizi kupitia mfumo wa hewa na chakula<br />

• Ugonjwa unapoathiri ngozi hutokea vidutu vikubwa vya<br />

rangi ya kijivu au kahawia kwenye upanga, undu, macho<br />

na mdomoni<br />

• Ugonjwa unapoathiri sehemu laini za mwili, mabaka<br />

madogo meupe hutokea kwenye kona za mdomo,<br />

kuzunguka ulimi, ndani ya mdomo na kwenye koo<br />

• Vifo vinaweza kufika hadi asilimia 50<br />

Kuku aliyepata ugonjwa wa ndui.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!