28.02.2013 Views

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Maelezo<br />

Hawa ni wadudu wanaoishi kwenye ngozi na manyoya ya kuku, wadudu hawa huleta usumbufu kwa kuku kwa<br />

kuwanyonya damu, kusababisha muwasho, na kuwa wadudu wa kati katika maambukizi ya magonjwa. Wadudu<br />

wanaoshambulia ngozi ni pamoja na viroboto, chawa, utitiri, nzi, mbu na kupe.<br />

3.5.1 WADUDU WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA NgoZI (INSecT INfeSTATIoN)<br />

Maelezo<br />

Hawa ni wadudu aina ya utitiri au viroboto ambavyo hushambulia aina zote za ndege/kuku wenye umri mdogo<br />

na mkubwa.<br />

Dalili<br />

Tiba<br />

• Muwasho wa ngozi<br />

• Ngozi ya kuku kutoka magamba<br />

• Kuku wanajaribu kunyonyoa manyoya ili kupunguza kuwashwa<br />

• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />

• Kuku anaonekana mchovu na hatulii<br />

• Kuharisha<br />

• Kwa kawaida vifo ni vichache<br />

Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua wadudu.<br />

Pata ushauri wa daktari.<br />

Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!