MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Maelezo<br />
Hawa ni wadudu wanaoishi kwenye ngozi na manyoya ya kuku, wadudu hawa huleta usumbufu kwa kuku kwa<br />
kuwanyonya damu, kusababisha muwasho, na kuwa wadudu wa kati katika maambukizi ya magonjwa. Wadudu<br />
wanaoshambulia ngozi ni pamoja na viroboto, chawa, utitiri, nzi, mbu na kupe.<br />
3.5.1 WADUDU WA<strong>NA</strong>oSHAMbULIA NgoZI (INSecT INfeSTATIoN)<br />
Maelezo<br />
Hawa ni wadudu aina ya utitiri au viroboto ambavyo hushambulia aina zote za ndege/kuku wenye umri mdogo<br />
na mkubwa.<br />
Dalili<br />
Tiba<br />
• Muwasho wa ngozi<br />
• Ngozi ya kuku kutoka magamba<br />
• Kuku wanajaribu kunyonyoa manyoya ili kupunguza kuwashwa<br />
• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />
• Kuku anaonekana mchovu na hatulii<br />
• Kuharisha<br />
• Kwa kawaida vifo ni vichache<br />
Nyunyizia au pulizia dawa ya kuua wadudu.<br />
Pata ushauri wa daktari.<br />
Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga<br />
51