MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
MAGONJWA MAKUU YA KUKU, TIBA NA KINGA - Research Into Use
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Kuzuia na Kinga<br />
• Mabanda yajengwe na wavu kuzuia wadudu kuingia.<br />
• Pulizia dawa za kuua wadudu kwenye mabanda<br />
• Kinyesi cha kuku kikusanywe mara kwa mara na kusambazwa juani ili kikauke na kuua lava.<br />
3.4.2 MINYoo <strong>YA</strong> DUArA (NeMAToDe INfeSTATIoN)<br />
Maelezo<br />
Ni ugonjwa unaosababishwa na Minyoo ya Duara ambayo hushambulia kuku, kanga, bata na ndege wa porini.<br />
Minyoo huathiri kuku/ndege wadogo na wakubwa ijapokuwa wadogo wanaathirika zaidi.<br />
jinsi Ugonjwa Unavyoenea<br />
Dalili<br />
• Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku/ndege na wadudu wa kati (minyoo ya kwenye udongo na<br />
mchwa).<br />
• Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula na maji yaliyochafuliwa<br />
• Minyoo ya Duara hushambulia mfuko wa chakula na kuishi tumboni hasa katika utumbo mwembamba<br />
• Kuku kukonda na kutokukua vizuri<br />
• Kuku wanaonyesha ukosefu wa damu – macho na ndimi na sehemu zisizo na manyoya kupauka<br />
• Kuhara damu<br />
• Kwa kawaida vifo ni vichache<br />
48 Magonjwa Makuu Ya Kuku, Tiba Na Kinga