28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Mheshimiwa Waziri Mkuu swali moja hasa ukizingatia nimeamka<br />

saa tisa alfajiri nilishangaa ilivyoanza vinginevyo nilitaka<br />

kusikitika <strong>la</strong>kini nashukuru nimepata nafasi. Mheshimiwa Waziri<br />

Mkuu, wastaafu wa Shirika <strong>la</strong> TAZARA wamekuwa wakidai<br />

mafao yao kuanzia mwaka 2007 na wamekuwa wakipewa<br />

ahadi mbalimbali za Serikali wakati wa Bajeti pamoja na<br />

viongozi mbalimbali waandamizi wa Serikali kwamba<br />

watalipwa malipo yao muda si mrefu. Mheshimiwa Waziri<br />

Mkuu, wastaafu hawa ni Wa<strong>tanzania</strong>, wametumikia nchi yao<br />

kwa uadilifu na uaminifu mkubwa, ningependa kujua kauli ya<br />

Serikali ni nini kuhusiana na malipo ya wastaafu hawa wa<br />

TAZARA? Ahsante. (Makofi)<br />

WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba<br />

tumekuwa na tatizo hilo <strong>la</strong> malipo ya mafao ya wastaafu wa<br />

TAZARA, <strong>la</strong>kini yako matatizo mengine mengi vile vile kwenye<br />

Shirika hili <strong>la</strong> TAZARA ambayo tunaendelea kuyashughulikia,<br />

<strong>la</strong>kini hususani hili <strong>la</strong> mafao kwanza tulitaka tuwashukuru sana<br />

wafanyakazi hawa kwa sababu katika mkutano wao wa<br />

mwisho na Serikali baada ya majidiliano nao walikubali sasa<br />

kwamba basi Serikali ijaribu kuona namna itakavyolipa zile<br />

bilioni 22 na wamekubali kwamba zilipwe kwa awamu. Kwa<br />

hiyo tumekubaliana kwamba tutatoa fedha hizo kwa awamu<br />

tatu, bilioni 7 awamu ya kwanza, bilioni 7 awamu ya pili na<br />

bilioni 7 awamu inayofuata. Kwa hiyo, Mheshimiwa Kairuki<br />

jambo hilo tunalikamilisha sasa hivi na tutalipa hizo fedha kwa<br />

awamu kama tulivyokubaliana na tunaomba tu wavute subira<br />

kidogo ili tuweze kulimaliza.<br />

Lakini wakati huo huo Serikali imeona ni vizuri tutazame<br />

tatizo <strong>la</strong> TAZARA kwa upana wake. Kwa hiyo, tumeomba<br />

Mawaziri wanaohusika upande wa Zambia na Tanzania<br />

wakutane ili tuweze kwa kweli kuona namna bora zaidi ya<br />

kuimarisha chombo hiki kwa lengo <strong>la</strong> kuongeza ufanisi na<br />

kupunguza matatizo ambayo yanawakabili. (Makofi)<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!