28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Na. 34<br />

Uendelezaji wa Kilimo cha Umwagiliaji<br />

MHE. RAJAB MBAROUK MOHAMED aliuliza:-<br />

Mwaka 1968 Serikali ilianzisha Kitengo cha Umwagiliaji ili<br />

kuendeleza hekta 10,000 za mashamba; na mwaka 1986 na<br />

1995 Serikali ilipatiwa msaada kutoka UNDP/FAO wa<br />

kuendeleza Kilimo cha Umwagiliaji kwa skimu 147 kwa kipindi<br />

cha miaka 20 hadi kufikia mwaka 2014:-<br />

(a) Je, hadi sasa ni skimu ngapi zimeendelezwa na ni<br />

katika maeneo gani?<br />

(b) Je, ni changamoto gani zilizojitokeza na ni mafanikio<br />

gani endelevu yaliyopatikana?<br />

NAIBU WAZIRI WA KILIMO NA USHIRIKA alijibu:-<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo<br />

na Ushirika, napenda kujibu swali <strong>la</strong> Mheshimiwa Rajab<br />

Mbarouk Mohammed, M<strong>bunge</strong> wa Ole, lenye sehemu (a) na<br />

(b), kama ifuatavyo:-<br />

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, kati ya mwaka 1988 na<br />

1999, Serikali ilitekeleza Mradi wa Umwagiliaji kwa msaada wa<br />

Mashirika ya UNDP na FAO. Malengo makuu ya Mradi huo,<br />

yalikuwa kujenga uwezo wa Kitengo cha Umwagiliaji, kupanga<br />

na kutekeleza Miradi ya Umwagiliaji katika nchi nzima na<br />

kukarabati baadhi ya skimu zilizokuwa zimechakaa katika<br />

Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka 1994, Mradi huo<br />

uliisaidia Serikali kuandaa Mpango wa Kitaifa wa Kuendeleza<br />

Umwagiliaji (National Irrigation Development P<strong>la</strong>n – NIDP),<br />

ambao uliweka lengo <strong>la</strong> kuendeleza skimu 147 ifikapo mwaka<br />

34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!