28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Wizara hii iliingia makubaliano na kampuni moja ya Kihindi ya<br />

Jayan katika kuendeleza mifumo ya umwagiliaji. Je,<br />

Mheshimiwa Waziri utalihakikishiaje Bunge hili pamoja na<br />

wananchi ya kwamba makubaliano hayo siyo bomu<br />

linaloweza kuliingizia Taifa katika mrorongo wa mikataba feki ili<br />

Taifa lisije kuingia katika hasara nyingine?<br />

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Naibu Waziri wa<br />

Kilimo, Chaku<strong>la</strong> na Ushirika, Mhandisi Chiza karibu.<br />

NAIBU WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA:<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza, inaonekana kama<br />

Mheshimiwa Mbarouk kuna baadhi ya mambo hajayaelewa<br />

vizuri; ningependa nimkaribishe ofisini kwangu ili nimpe elimu<br />

ayaelewe kwa sababu mpangilio wenyewe wa kuuliza haendi<br />

kama yalivyo. Ninapenda niseme kwa kifupi tu kwamba,<br />

Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo ambayo ndiyo<br />

ambayo tunaitekeleza hivi sasa imeweka Mifuko hiyo; kwanza,<br />

kuanzia ngazi ya Wi<strong>la</strong>ya tunayo mipango ya kuendeleza kilimo<br />

katika ngazi ya Wi<strong>la</strong>ya (District Agricultural Development P<strong>la</strong>ns),<br />

ambako ndiko huko tunakoanzia kupanga mipango ya kilimo<br />

cha umwagiliaji na ina kiwango cha fedha ambapo<br />

Halmashauri zote hujipangia mipango hiyo na kuomba fedha<br />

hizo.<br />

Baada ya hapo tunakwenda katika ngazi ya District<br />

Irrigation Development Fund kama fedha hiyo ipo kati ya<br />

kiwango cha bilioni 500 mpaka milioni 800, zinapozidi hapo<br />

tunaweka Mfuko unaoitwa National Irrigation Development<br />

Fund kama fedha hizo zinazidi shilingi milioni 800.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, fedha hizi zinajadiliwa katika<br />

Halmashauri zote kulingana na mipango ambayo Halmashauri<br />

imejiwekea. Kwa hiyo, ningemwomba Mheshimiwa Mbarouk<br />

ashiriki katika Vikao hivyo vya Halmashauri, wanapopanga<br />

mipango hii ya maendeleo ya kilimo ili aweze kuelewa<br />

mipango inavyopangwa. Kwa kifupi ni kwamba, Halmashauri<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!