28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Mheshimiwa Mama Malece<strong>la</strong> kwamba tupange utaratibu sasa<br />

ambao utatuwezesha, si kuuza minofu, <strong>la</strong>kini tuone kama<br />

tunaweza kutumia utaratibu ambao utatuwezesha. Minofu ile<br />

iweze kusindikwa ifungwe na kuuzwa moja kwa moja kwenda<br />

kwa m<strong>la</strong>ji baada ya kuzingatia taratibu zile za ubora<br />

unaotakiwa, mimi naamini linawezekana.<br />

Kwa hiyo, nataka nimhakikishie Mheshimiwa Mama<br />

yangu Anne Ki<strong>la</strong>ngo Malece<strong>la</strong> pale kwamba jambo hili<br />

nimelipokea na juzi nimewaandikia Wakuu wa Mikoa wote wa<br />

Kanda ya Ziwa kwamba watafute katika kikao chao cha<br />

pamoja cha uwekezaji wanadi hili wazo <strong>la</strong> namna ya<br />

kuongeza thamani ya zao hili <strong>la</strong> samaki kwa kuona uwezekano<br />

wa kuwa na mwekezaji katika Kanda ile ambaye atafanya kazi<br />

si ya kuuza minofu <strong>la</strong>kini kazi ya kuitengeneza hiyo minofu kwa<br />

kiwango kinachotakiwa ili kiweze kuuzwa nje bi<strong>la</strong> kupitia kwa<br />

mtu mwingine ambaye anafaidika zaidi kuliko sisi wenyewe.<br />

(Makofi)<br />

Kwa hiyo, nawashukuru sana wale maprofesa wa<br />

Marekani ambao ndiyo wamefanya uchunguzi huo, utafiti huo<br />

na baadaye wametuletea mawazo haya. Lakini nikushukuru<br />

vile vile Dada Anne Ki<strong>la</strong>ngo Malece<strong>la</strong> kwa sababu na wewe<br />

ulilifuatilia kwa nguvu sana jambo hili na ndiyo maana nikatoa<br />

majibu na maelekezo haraka sana kuhakikisha kwamba jambo<br />

hili sasa tunalipa nafasi kubwa katika Taifa letu. (Makofi)<br />

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Waziri Mkuu.<br />

Kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu kimeisha. Tunakushukuru<br />

sana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa majibu yako fasaha, kama<br />

kawaida yako. Ahsante sana. (Makofi)<br />

Katika kipindi hiki cha maswali kwa Mheshimiwa Waziri<br />

Mkuu, tumepata maswali kutoka kwa kiongozi wa Upinzani<br />

Bungeni na Wa<strong>bunge</strong> wengine sita. Kwa hiyo, kwa ujum<strong>la</strong><br />

tumeweza kupata Wa<strong>bunge</strong> saba. Naomba niwashukuru wale<br />

wote mliopata nafasi ya kuuliza maswali. Kwa wale wengine<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!