28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza kabisa, ningependa<br />

nichukue fursa hii kumpongeza sana Mheshimiwa M<strong>bunge</strong>,<br />

kwa ufuatiliaji wake mzuri wa ruzuku ya fidia ya vyanzo vya<br />

mapato kwa Halmashauri zote hapa nchini ikiwemo na<br />

Namtumbo. Vile vile kufuatilia uwiano wa mapato<br />

yanayotokana na ada ya leseni kama alivyosema.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, swali <strong>la</strong> kwanza kuhusu fidia;<br />

ningependa niseme kwamba, kuhusu fidia, panapojitokeza<br />

kwamba ipo haja ya kulipa fidia, Serikali huwa inabainisha<br />

chanzo cha fidia hiyo kulipwa na namna ya kutatua tatizo hilo<br />

kwa njia ya muda mfupi au muda mrefu na hasa kwa<br />

kuzingatia uwezo wake wa kifedha, kwa maana ya bajeti. Sasa<br />

kwa hili <strong>la</strong> Halmashauri kupewa fidia kwa kuziba mapengo<br />

yaliyojitokeza, tunaangalia pengo hili au tatizo hili lilitokeaje.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, utaona kwamba, Halmashauri<br />

nyingi zimeshindwa kukusanya mapato kupitia hii ada ya leseni.<br />

Sasa mtu aliyeshindwa au Halmashauri iliyoshindwa leo tena<br />

ipewe fidia kwa kushindwa, inakuwa ni vigumu. Ukizingatia<br />

uwezo wa bajeti kwa hivi sasa kwa kipindi hiki cha muda mfupi<br />

uliobaki wa miezi miwili, mitatu na kama alivyosema<br />

Mheshimiwa Waziri Mkuu, wakati akijibu swali hapa kwamba,<br />

tuna upungufu wa bajeti finyu sasa hivi; kwa hiyo, itakuwa<br />

vigumu sana kutoa fidia kwa Halmashauri hizi ili kuziba<br />

mapengo hayo.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, upande wa swali <strong>la</strong> pili <strong>la</strong> ruzuku<br />

ni kwamba, Manispaa, Majiji au Miji Mikubwa, kwa sababu<br />

wao wana fursa nzuri ya kukusanya ada ya leseni,<br />

wapunguziwe ruzuku na ruzuku hiyo iende kwenye Halmashauri<br />

hizi ndogondogo ambazo fursa ya kukusanya ada ya leseni ni<br />

ndogo. Ninafikiri huu ni ushauri mzuri sana na ningependa<br />

kumwambia Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> na Wa<strong>bunge</strong> wengine<br />

kwamba, hili tutazidi kushauriana au tutaomba ushauri wa<br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!