28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Waziri Mkuu, je ni kweli Serikali imefilisika? Au imekuwa na<br />

vipaumbele vingi na mipango mingi ambayo haitekelezeki?<br />

WAZIRI MKUU: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba<br />

nimshukuru sana Mheshimiwa Rajab Mohamed kwa swali <strong>la</strong>ke,<br />

<strong>la</strong>kini nataka nimhakikishie tu Serikali haijafilisika maana hata<br />

wewe usingekuwepo Bungeni hapa. (Kicheko)<br />

Bado tupo, bado tupo i<strong>la</strong> ni kweli kwamba Bajeti yetu ni<br />

kali kidogo, kubanana ni kukubwa sana na tuli<strong>la</strong>zimika hapo<br />

katikati kuchukua hatua zaidi za kubana matumizi hasa<br />

kwenye maeneo yale ambayo sio ya <strong>la</strong>zima sana kwa<br />

kupunguza kiasi fu<strong>la</strong>ni cha Bajeti yetu. Sasa lile ofcourse<br />

limesababisha kidogo kubanwa kukubwa kwenye maeneo<br />

haya.<br />

Lakini ni jambo ambalo limeelezwa vizuri kwa vyombo<br />

vyote vinavyohusika na tumewaomba sana wajitahidi ndani ya<br />

Bajeti ambayo sasa tunaenda nayo basi wahakikishe fedha zile<br />

zinazopelekwa zisaidie kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za<br />

Serikali. Hatutakwama, <strong>la</strong>kini tutafika mwisho wa mwaka tukiwa<br />

tumefunga mikanda kwa nguvu sana. Lakini lengo ilikuwa ni<br />

<strong>la</strong>zima tubaki katika utaratibu unaotuwezesha kuwa na Bajeti<br />

ambayo imezingatia uhalisia bada<strong>la</strong> ya kujidanganya kwamba<br />

mna Bajeti kubwa ambayo kumbe ndani yake yaliyomo si ya<br />

uhalisia ndiyo hasa tunachojaribu kufanya sasa hivi.<br />

MHE. MWIGULU L. M. MADELU: Mheshimiwa Waziri Mkuu,<br />

tumeshuhudia matatizo katika sekta ya elimu ikiwepo watoto<br />

kukaa chini na walimu wapya kukosa malipo na kuishi katika<br />

maisha magumu. Serikali ilikuwa inafuatilia fedha ambazo ziko<br />

kwa jina <strong>la</strong> chenji ya rada na taarifa tulizokuwa nazo ilikuwa<br />

zitumike katika kuboresha sekta ya elimu na taarifa nilizozipata<br />

kutoka Uingereza ni kwamba ile chenji imerudi. Sasa swali<br />

<strong>la</strong>ngu kama ni kweli ni kiasi gani kimerudi na Mheshimiwa Waziri<br />

Mkuu ni lini hizo fedha zitapelekwa kwenda kunusuru sekta ya<br />

14

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!