28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12 APRILI, 2012<br />

Mkazo katika Programu hiyo ni kushughulikia sua<strong>la</strong> zima <strong>la</strong><br />

miundombinu kwa maana ya bandari ya uvuvi, <strong>la</strong>kini pia mialo<br />

ya kuweza kuwarahisishia wavuvi kuwa na mahali pa kuja<br />

kufanya <strong>la</strong>nding wanapovua wawe na mahali pa kufikia.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, Programu inakazania pia<br />

kujenga uwezo wa wavuvi wadogowadogo. Kwa hiyo,<br />

Programu imeendeleza mawazo ambayo yalianza katika<br />

kipindi cha nyuma mfano katika Wi<strong>la</strong>ya ya Mkinga, jum<strong>la</strong> ya<br />

zaidi ya shilingi milioni 600 zilitolewa kuwajengea uwezo wavuvi<br />

wadogowadogo ili waweze kuvua na waweze pia kufanya fish<br />

farming na kutumia kama mitaji kuboresha maisha yao.<br />

Niseme tu, Programu hii imekamilika na tunatarajia<br />

kwamba, itapatiwa fedha na mkazo utakuwepo katika Sekta<br />

ya Uvuvi.<br />

(ii) Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba, ukuaji<br />

umekuwa mdogo kama tulivyosikia, kinachovuliwa kutoka Ziwa<br />

Viktoria, wananufaika wengine, <strong>la</strong>kini pia Deep Sea Fishing<br />

Authority, wananufaika wengine zaidi yetu. Mpango wa sasa<br />

unajaribu kuziba mianya inayowanufaisha wengine na<br />

kuhakikisha kwamba, sisi tutanufaika zaidi.<br />

Nitamwomba Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> na nikuombe wewe<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, Programu itakapokuja kuombewa<br />

pesa tuipatie fedha za kutosha kwa sababu tutanufaika zaidi<br />

kutegemeana na kiasi cha pesa tutakachokuwa tunaweka<br />

kwenye utekelezaji wa Programu hiyo.<br />

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, kwa sababu ya<br />

muda, nitaomba sana maswali ya leo wauliza maswali wawe<br />

wale wenye maswali ya msingi tu basi. Tunaendelea na<br />

Mheshimiwa Mchungaji Luckson Ndaga Mwanjale, M<strong>bunge</strong><br />

wa Mbeya Vijijini.<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!