28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12 APRILI, 2012<br />

yaliyoanzishwa kwa mujibu wa ibara ya 75 ya katiba ya<br />

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.<br />

(b)Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu Wa<strong>bunge</strong><br />

wanaotoka Tanzania Zanzibar kutokuwa Wajumbe wa Baraza<br />

<strong>la</strong> Madiwani kama ilivyo kwa Wa<strong>bunge</strong> wa Tanzania Bara.<br />

Jambo hili linatokana na Sheria zinazosimamia uanzishaji,<br />

muundo na majukumu ya Mam<strong>la</strong>ka ya Serikali za Mitaa kwa<br />

upande wa Mabaraza <strong>la</strong> Madiwani Tanzania Zanzibar.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba ifahamike kuwa Sheria<br />

ya Serikali za Mitaa Namba 8 ya mwaka 1982 Mam<strong>la</strong>ka za miji<br />

na Sheria za Serikali za Mitaa Na. 7 ya mwaka 1982 Mam<strong>la</strong>ka<br />

za Wi<strong>la</strong>ya siyo Sheria za Muungano. Hivyo namshauri<br />

Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> kuwasilisha sua<strong>la</strong> hili kwenye Baraza <strong>la</strong><br />

Wawakilishi ili kama ita<strong>la</strong>zimu kufanya hivyo Sheria za Tanzania<br />

Zanzibar zirekebishwe kuwajumuisha Wa<strong>bunge</strong> katika<br />

Mabaraza ya Miji ya Tanzania Zanzibar.<br />

MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Ahsante sana<br />

Mheshimiwa Naibu Spika. Nashukuru kwa majibu mazuri ya<br />

Waziri yenye matumaini. Kwa kuwa pesa za mfuko wa jimbo<br />

kwa upande wa Zanzibar zimekuwa zina mzuko mwingi, hata<br />

hawa wa<strong>bunge</strong> wa majimbo hawazipati kwa wakati muafaka.<br />

Je, Serikali ikishirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar<br />

mtahakikishaje hizi fedha za Mfuko wa J imbo zinawafikia<br />

walengwa na kwa wakati muafaka? (Makofi)<br />

Swali <strong>la</strong> pili. Kwa kuwa wanawake wengi wamekuwa ni<br />

chachu ya maendeleo katika jamii na katika mikoa. Je, Serikali<br />

mtahakikishaje wanawake hawa wanashirikishwa katika mfuko<br />

wa jimbo? (Makofi)<br />

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA MIKOA<br />

NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI): Mheshimiwa Naibu Spika,<br />

kipindi kilichopita kwenye Bunge hili lililopita Mwanasheria Mkuu<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!