28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12 APRILI, 2012<br />

Kutakuwa na basi ambalo litaondoka hapa kwenye saa<br />

nne. Kwa hiyo, Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> ambao watapenda<br />

kufanya hivyo tuingie katika usafiri huo.<br />

KIAPO CHA UTII<br />

Wa<strong>bunge</strong> wafuatao waliapa Kiapo cha Utii na kukaa<br />

katika nafasi zao ndani ya Ukumbi wa Bunge.<br />

Mheshimiwa Cecilia Daniel Paresso<br />

Mheshimiwa Joshua Samwel Nassari<br />

(Hapa Wa<strong>bunge</strong> walishangilia na kupiga vigelegele<br />

baada ya Kiapo)<br />

NAIBU SPIKA: Order. Katibu hatua inayofuata.<br />

HATI ZILIZOWASILISHWA MEZANI<br />

Hati Zifuatazo Ziliwasilishwa Mezani na:-<br />

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU SERA URATIBU NA<br />

BUNGE: Taarifa ya Mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali juu ya Hesabu zilizokaguliwa za Serikali za<br />

Mitaa kwa Mwaka ulioishia Tarehe 30 Juni, 2011. (The Annual<br />

General Report of the Controller and Auditor General on the<br />

Audit of the Financial Statements of the Local Government<br />

Authorities for the year ended 30th June, 2011)<br />

NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. GREGORY GEORGE TEU):<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa ruhusa yako na kupitia kwako<br />

kab<strong>la</strong> ya kuwasilisha Hati Mezani naomba nitoe taarifa fupi<br />

ndani ya Bunge <strong>la</strong>ko Tukufu kwamba katika mkutano wa<br />

Umoja wa Mataifa (The United National General Assembly),<br />

uliofanyika Novemba, 2011.<br />

2

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!