28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Kundi <strong>la</strong> pili ni wageni wetu kutoka DFID, Shirika <strong>la</strong><br />

Misaada <strong>la</strong> Uingereza, ambao ni Dkt. Marshal Elliot, Kiongozi wa<br />

Msafara, akifuatiwa na Mr. Mark Montgomery - Governance<br />

Adviser, Ndugu Richard Moberly - Senior Economic Adviser na<br />

Ms Getrude Mapunda ambaye ni Social Development Adviser.<br />

Karibuni sana na walipita ofisini kwangu jana tukaongea nao<br />

pamoja na mambo mengine, wanapendekeza kutusaidia<br />

kuanzisha kitu kinachoitwa Parliamentary Score Card, ambayo<br />

ita-truck mwenende na ushiriki na perfomance ya M<strong>bunge</strong><br />

katika miaka ambayo anakuwepo Bungeni ili mwisho wa<br />

miaka mitano wananchi waweze kujua. Kwa hiyo,<br />

tunaendelea kuongea tuone kama jambo hili linawezekana au<br />

vipi, <strong>la</strong>kini tutapenda vilevile kupata ushauri wenu. Ahsanteni<br />

sana and you are welcome. (Makofi)<br />

Naomba kuwatambulisha Wa<strong>bunge</strong> wa Afrika Mashariki,<br />

nianze na Wa<strong>bunge</strong> watatu; Mheshimiwa Abdul<strong>la</strong>h Mwinyi,<br />

Mheshimiwa Sebtuu Mohamed Nassor na Mheshimiwa Said<br />

Gharib Bi<strong>la</strong>l. Hawa ni Wa<strong>bunge</strong> wa kutoka upande wa<br />

Zanzibar, vilevile nimtambulishe Mheshimwa Janet Deo Mmari.<br />

(Makofi)<br />

Ahsante sana Mheshimiwa Janet. Katika ile group nzima<br />

ya Wa<strong>bunge</strong> wa Afrika Mashariki waliomaliza muda wao, kwa<br />

upande wa Tanzania Bara, yeye peke yake ndiye aliyebakia.<br />

Sasa katika masua<strong>la</strong> ya kumbukumbu za kitaasisi yaani<br />

Institutional memory, mimi sina cha kusema. (Makofi)<br />

Tunaendelea na wageni wa Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>.<br />

Wapo wageni 90 wa M<strong>bunge</strong> Mteule wa Arumeru Mashariki,<br />

Mheshimiwa Joshua Nassari wakiongozwa na mzazi wake<br />

Bwana na Bibi Mchungaji Samwel Nassari. Karibuni sana kutoka<br />

Arumeru, kijana wenu amefika hapa. Mzee Samwel nyoosha<br />

mkono, ahsante sana na karibu sana baba yetu. (Makofi)<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!